DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Tuacheni kutetea maovu , mtu anakamtwa na meno ya Tembo tena vizibiti vipo tunasema ameonewa eti kwa kuwa ni tajiri au kwa kuwa anapingana na serikali iliyopo madarkani, watanzania mbona tuko down sana kiasi hiki? kweli mtu kakamatwa na uwindaji haramu tuna sema serikali inanyanyasa matajiri? wangapi wamekamatwa Tanzania hii kwa uwindaji haramu na wako huko wanasubiri kesi zao? kama ameonewa mahakama ipo itatoa hukumu, lakini sio tuache kuchukua hatua pindi watu wanapokuwa na hatia, tunataka kujenga taifa la ajabu sana kisa eti tunataka huyo tajiri aliyekamatwa tumtetete hapa tumchonganishe na serikali ili akitoka basi aungane nasi katika vyama vyetu kisa tupate misaada ya ufadhili, siasa ni mbaya sana tukiicha iwe katika akiri zetu muda wote maana kila kitakachokuwa kinatokea hapa nchini baada ya kujadili in a facts way tunalichukulia ni suala lakutafutia wafuasi, lets the government do the work, kuna mahakama zitaamua, ndio maana mimi nasem serikali iliyopo itakuwa ngumu sana kuyatoa, maana yanazidi kupata uungwaji mkubwa wa watu na kujiweka katika mazingira mazuri kwa kipindi kijacho,wanacheza na agenda zao vizuri, rushwa, ujangili,madawa ya kulevya na kadhalika, sisi tunadharau lakini wenzetu ndo wanakimbia hivyo.
 
Tuacheni kutetea maovu , mtu anakamtwa na meno ya Tembo tena vizibiti vipo tunasema ameonewa eti kwa kuwa ni tajiri au kwa kuwa anapingana na serikali iliyopo madarkani, watanzania mbona tuko down sana kiasi hiki? kweli mtu kakamatwa na uwindaji haramu tuna sema serikali inanyanyasa matajiri? wangapi wamekamatwa Tanzania hii kwa uwindaji haramu na wako huko wanasubiri kesi zao? kama ameonewa mahakama ipo itatoa hukumu, lakini sio tuache kuchukua hatua pindi watu wanapokuwa na hatia, tunataka kujenga taifa la ajabu sana kisa eti tunataka huyo tajiri aliyekamatwa tumtetete hapa tumchonganishe na serikali ili akitoka basi aungane nasi katika vyama vyetu kisa tupate misaada ya ufadhili, siasa ni mbaya sana tukiicha iwe katika akiri zetu muda wote maana kila kitakachokuwa kinatokea hapa nchini baada ya kujadili in a facts way tunalichukulia ni suala lakutafutia wafuasi, lets the government do the work, kuna mahakama zitaamua, ndio maana mimi nasem serikali iliyopo itakuwa ngumu sana kuyatoa, maana yanazidi kupata uungwaji mkubwa wa watu na kujiweka katika mazingira mazuri kwa kipindi kijacho,wanacheza na agenda zao vizuri, rushwa, ujangili,madawa ya kulevya na kadhalika, sisi tunadharau lakini wenzetu ndo wanakimbia hivyo.
Tatizo wewe ni mjinga na hujijui kama ni mjinga, siyo kila muwindaji ni jangili, hizo kampuni zimesajiliwa kisheria na wanawinda kisheria na hata tembo wanauwawa kisheria.

Mpaka ujifunze tofauti ya jangili na Proffesional hunters ndio utaacha kuandika ujinga kama huu ulioandika hapa.
 
Kwa wana JF,

Natambua kuwa kuna threads 2 humu; ila taarifa ni kuwa Akram Aziz ambaye ni mdogo wa Mbunge wa zamani wa Igunga, Ndg. Rostam Aziz, ni kweli alikamatwa na Vyombo vya Dola na mchana huu amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu.

View attachment 917003

Kwa kuanzia, ana makosa takribani 75 ambayo anahusishwa nayo. Kuna utakatishaji fedha/uhujumu uchumi na kukutwa na nyara za serikali pia katika makosa hayo.

View attachment 917001
View attachment 917002

Kwa Taarifa za awali, Soma => Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali... - JamiiForums

Aiseeee awamu hii mtu ukiwa ni tajiri na ikiwa utajiri huo umeupata kwa njia haramu basi ni hofu tupu....akipita mjusi juu ya paa la nyumba yako ni wasiwasi mtupu...hakuna raha tena...
 
Tatizo wewe ni mjinga na hujijui kama ni mjinga, siyo kila muwindaji ni jangili, hizo kampuni zimesajiliwa kisheria na wanawinda kisheria na hata tembo wanauwawa kisheria.

Mpaka ujifunze tofauti ya jangili na Proffesional hunters ndio utaacha kuandika ujinga kama huu ulioandika hapa.

Safari ya kwenda kwenye uchumi wa kati ni ndefu sana. Awamu hii inaonyesha jinsi tulivyo wajinga kwenye masuala ya biashara na basic general knowledge.

Mtu kuona pembe na bunduki anajua huyo ni jangili. Hajui hunting ni registered business Tanzania.

Utakatishaji wa $9,018! Hii ni pesa ya kusafisha? Watanzania tunafanywa wajinga sana.
 
Hawa matajiri wa Tanzania wote ni wezi tu, baadae wanatudanganya eti walianza kwa kushona viatu, kumbe full ujambazi.
 
Kwa wana JF,

Natambua kuwa kuna threads 2 humu; ila taarifa ni kuwa Akram Aziz ambaye ni mdogo wa Mbunge wa zamani wa Igunga, Ndg. Rostam Aziz, ni kweli alikamatwa na Vyombo vya Dola na mchana huu amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu.

View attachment 917003

Kwa kuanzia, ana makosa takribani 75 ambayo anahusishwa nayo. Kuna utakatishaji fedha/uhujumu uchumi na kukutwa na nyara za serikali pia katika makosa hayo.

View attachment 917001
View attachment 917002

Kwa Taarifa za awali, Soma => Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali... - JamiiForums
Waendesha mashtaka wetu wa Kibongo siajabu kosa moja limejirudia mara 15 kumbe pana makosa 5 tu
 
Tatizo wewe ni mjinga na hujijui kama ni mjinga, siyo kila muwindaji ni jangili, hizo kampuni zimesajiliwa kisheria na wanawinda kisheria na hata tembo wanauwawa kisheria.

Mpaka ujifunze tofauti ya jangili na Proffesional hunters ndio utaacha kuandika ujinga kama huu ulioandika hapa.

Kwani waliomkamata hawajui kama kuna license za uwindaji zinatolewa kwa watu mbalimbali? hata license zina limitations ya nini ufanye au uwinde wanyama pori wa aina gani, ukienda nje ya license yako bado utakamatwa. Kuwa na license haikufanyi wew usiwe jangili, hata mimi naweza kuwa na license ya kuwinda sungura nikawinda samba ,je sitakamatwa? ndo maana nikasema watanzania tuko down sana, wew umeiona license ya huyu mtu unaemtetea? kama anavielelezo vya kutosha mahakama itaamua sio kusema kaonewa ,this kaonewa eti ni tajiri ni mawazo ya kijima, acha serikali ifanye kazi yeye atajitetea mahakamani.
 
Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!

Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????

Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.

Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom