TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Anita Makirita nilikwambia ukienda haurudi ukirudi ushakua Maiti, Pole sana kwa wafiwa, ndugu, Jamaa na marafiki kwa kumpoteza mpendwa wao, inlalilah wa inlalilah rajiuni Bwana katoa Polisibubu wametwaa, marehemu apumzike anapostahiri
Ongezea nyama story yako tufunguwe codes!!
 
Wabongo ni waoga sana labda ni kwa sabab uhuru wao waliupata kwa njia za makaratasi
 
Kitu ambacho nilishangaa Ni spika wa Bunge kutokubali Kuijadili hii hoja zaidi ya mara Mbili kuna tatizo kubwa sana tunalitengeneza
 
Hii taarifa imeniumiza sana. Polisi waliahidi kufanya uchunguzi kuhusu hili, bahati mbaya majibu hayajifika na Mzee hayupo tena.

 
Huenda Msigwa anatumika(collaborator).
 
TUSALI HII SALAA OMBA REHEMA KWA AJILI YAKO YA FAMILIA YAKOO NA WOTE WALIOHUZUNIKA NA MSIBA HUU OMBA REHEMA KWA AJILI YATAIFA LETU
 

Attachments

  • Screenshot_20240908-121028_Chrome.jpg
    397.7 KB · Views: 3
Tunakotaka kufika tutafika tu Hait,Mexico na Colombia nao nafikiri walianza hivi hivi ila wao bora walijua ni makundi ya wauza madawa.Sasa huku hatujui ni kina nani wanahusika.Serikali Jamani tunawalipa mishahara kwa ajiri ya kulinda usalama wetu na tupate huduma hili swala la utekaji fanyeni uchuunguzi tutazalisha magaidi si mda mrefu wote hatutakua salama.Please viongozi hebu tuwaonee huruma watoto wetu hivi tunawaachia Tanzania yenye damu 😭😭😭
 
Jumuiya za dini zimekaa kimyaaaa tunayikazii kubwa sa na mbelenj
 
Sina la kuandika..
Machozi yamenitoka ingawa sikuwahi mfahamu.
MUNGU tunusuru
Mimi mwenyewe sikuwhi kumjua ila kama binadamu nimestushwa mnoo na kiteelndo hiki...
au huyu kamanda alikuwa na kitengo kizito ndani ya chadema kuwadukuwa hawa watekaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…