Tumekuwa makondoo sana , tunaona mwenzetu anatekwa na sisi tunaona kawaida bila kuchukua hatua , hao wahuni ilibidi wabanwe waonyeshe vitambulisho na warrant ya mahakama ya mtu kukamatwa na waje na sare kamili za polisi na ikiwezekana watu kadhaa wawafuatilie na kuhakikisha huyo aliyekamatwa amepelekwa na kuingizwa kituoni na si vinginevyo ,hii ya wapuuzi tu wanakuja na kuteka watu na kujiongezea kwamba ni polisi au usalama huu ni useng£ kabisa kinyume na hivyo wapigiwe kelele za wezi na wapigwe na kuchomwa moto kama majambazi au wezi wengine mitaani wanavyofanyiwa au mtu anayekamatwa naye ajihami kivyovyote na kuhakikisha hakamatwi , .
Kuna arrest procedures na zinajulikana , aisee watz tuache ukondoo