TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Mkuu wakati wanapitisha sheria za kuwalinda wakishafanya mauwaji hukujuwa consequences zake?

Mimi wala sishangai.
 
🥲🥲
 
Kuna rafiki yangu mmoja ana cheo kichama.
Nimesoma nae na hata ghetto tulikaa nae Sana
Aliwai nambia ✍️ Dr am 4 real PhD wewe ni jembe na ni very potential unakubalika na una ushawishi kwa watu wanao kuzunguka na jamii kwa ujumla wake.
Nikamjibu: Sipendi Mambo ya siasa KABISA Kuna undumila kuwili mwingi mno.

Humu Jf Kuna brainy nyingi sanaaa Ila zipo mbali na SIASA sababu ya factors nyingi nyingi Kama hizi.

Apumzike kwa amani tuviachie vyombo vya ulinzi na usalama zitende kazi yake.
 
Uchunguzi utafanyika kwa mujibu wa mtuhumiwa, tumeambiwa wameingia kwenye basi wakiwa na bunduki, wakajitambulisha kama sheria inavyotaka, wakasema wanamtaka mzee Mohamed, wakampiga pingu,wakaondoka naye, kisha kumuua na kumtupa ununio!! It looks exactly like a dog, walk like a dog and bark like a dog! Yes its a Dog!!
 
Wakimalizana na Chadema watarudi ccm na wakimalizana na ccm watarudi na wataongeza kasi ya kuwamaliza wananchi wakosoaji.

Eva ni zao la Magufuli na atapita njia zile zile za mwendazake.

Uzuri wanajua Midanganyika inalalama tu na haiwezi kuchukua hatua. Ni kupiga tu domo mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…