comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Mbaya sana hiiNdugu jamaa na marafiki wa wahanga wakiamuwa kulipa kisasi je tutamlaumu nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya sana hiiNdugu jamaa na marafiki wa wahanga wakiamuwa kulipa kisasi je tutamlaumu nani?
Hii ni hatari kubwa snNdiyo furaha yao hiyo
Ova
Tatizo sio JPM na wala sio Samia. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.Hapana.magufuli ana afadhali.
Idadi ya utekaji ya kipindi cha samia ni KUBWA SANAkuliko kipindi cha magufuli. Huu ukweli tuuseme na tuukubali.wewe hauoni?
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
ALI MOHAMED KIBAO AMEUWAWA..!
Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.
Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.
ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.
Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote ,anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.
Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.
Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha,wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima,mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.
Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.
Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1.Dioniz Kipanya 2.Kombo Bwana Twaha 3.Godwin Mlay 4.Deusdedith Soka 5.Frank Mbise.
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
View: https://x.com/ExMayorUbungo/status/1832674223258476755?t=aXBxUnhaC6U0JYRnw4SXKg&s=19
Yule waziri wizara imemshinda.
Samia anayafurahia haya mambo.
Naanza kuona bora utekaji wa kipindi cha magufuli. Nilijua mwiulu mchemba ndio wazuri mbovu wa mambo ya mdani kuliko wote waliopita kumbe nilikuwa najidanganya.SAMIA ANAHUSIKA NA HUU UTEKAJI
Nakubaliana na weweTatizo sio JPM na wala sio Samia. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.
Hao utakuta wameshaliwa na mambaCCM watatoa tamko la kulaani haya mauwaji, naogopa Sana kuhusu uzima wa akina soka na wenzake
Tuombeane tuSikujua kama hali ndio imekua mbaya kiasi hiki kwa kweli
Hii serikali ni dhalimu kupita kiasiKwa kweli hii Serikali ya sasa ni aheri hata ya wakatiwa Magufuli. Japo kulikuwa na utekaji na mauaji ya wanasiasa, lakini hayakufikia kiwango hiki. Shetani ameweka makao ya kudumu kwente Serikali ya awamu hii. Kusipofanyika kitu, hawa watu wataendelea kuua Watanzania kama vile wanavyouawa kuku.
Mungu wa mbinguni tunaomba atusaidie, uovu huu ambao haya mashetani yanatenda dhidi ya wanadamu wengine, ukawarudie na wao mara 2 zaidi.
Kama huyo katekwa juzi na tayari kauwawa, akina Soka watakuwa hai unadhani?CCM watatoa tamko la kulaani haya mauwaji, naogopa Sana kuhusu uzima wa akina soka na wenzake
Sawa ila hii hali si nzuri na uzuri wazir alisema yeye anafata katiba siku akitekwa mtt wake tuone aseme tena anafata katiba twendeni tuHapana.magufuli ana afadhali.
Idadi ya utekaji ya kipindi cha samia ni KUBWA SANAkuliko kipindi cha magufuli. Huu ukweli tuuseme na tuukubali.wewe hauoni?
Ndiyo maana huwezi kumsikia mama analaaniR.I.P JPM ulikua unasingiziwa sana. Ona sasa watu wanaendelea kuokotwa wameuwawa ila wala Rais hatajwi kwenye mauaji hayo
Haya mambo yanaumiza sana mkuu, kwa hali hii ya kuchukuliwa hovyo hovyo ni rahisi sana hata wabaya wako kukumaliza.Nakubaliana na wewe