TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Hapana.magufuli ana afadhali.
Idadi ya utekaji ya kipindi cha samia ni KUBWA SANAkuliko kipindi cha magufuli. Huu ukweli tuuseme na tuukubali.wewe hauoni?
Tatizo sio JPM na wala sio Samia. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.
 
Aiseeeeeèe
Napitatu niko kwenye maombj ya....
 
Magufuli alisha ustikia huu mchezo.

Kuna kijana CDM Mbeya uchaguzi uliopita walimteka hivi hivi na kumpotezea maisha yake.

Ikabidi Magufuli akaombe msamaha kwa ile familia na kuwapa pole (Lakini hela) aifidii maisha ya mtu.

Chadema na genge lenu la wahusika huko serikalini acheni huu ushenzi. Ushindi aupatikani kwa njia hizi za udhalimu.

R.I..P
 

Kwa kweli hii Serikali ya sasa ni aheri hata ya wakatiwa Magufuli. Japo kulikuwa na utekaji na mauaji ya wanasiasa, lakini hayakufikia kiwango hiki. Shetani ameweka makao ya kudumu kwente Serikali ya awamu hii. Kusipofanyika kitu, hawa watu wataendelea kuua Watanzania kama vile wanavyouawa kuku.

Mungu wa mbinguni tunaomba atusaidie, uovu huu ambao haya mashetani yanatenda dhidi ya wanadamu wengine, ukawarudie na wao mara 2 zaidi.
 
Nakubaliana na wewe
 
Hii serikali ni dhalimu kupita kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…