TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

We ms3ng3 umeshawahi kusikia Rais akitoa kauli yoyote ya KUTOKOMEZA UDHALIMU huo? Samia na kijana wake Abdul ndio wafadhili wa hayo MAGENGE ya UTEKAJI NA MAUAJI. NI HUZUNI
Natakiwa na mimi nikutukane ndio twende sawa ama?

Sio kila mtu gullible wa kuambiwa kitu na kukubali tu kama unavyotaka. Unatoa baseless accusations halafu unataka tukuamini.

Kwa Sasa sina nguvu ya kutukanana mtu na kujikasirisha for no apparent reasons, wakati nahitaji full concentration kwenye mambo mengine ya maisha.

Sehemu ya kukuwa ni kuelewa pia kuna wasaa mitandaoni unaweza kuwa unabishana mkaanga mihogo mmoja ambae hana mbele wala nyuma kodi yake chumba swekeni tsh 30,000 kwa mwezi.

Kodi yangu ya pango hapa £1500 kwa mwezi bado bills nyingine. Nahitaji kichwa changu katika hali nzuri kama huna uwezo wa kujibizana kwa staha kwaheri.

👋
 
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
View attachment 3090046
View attachment 3090047

======


Ali Mohamed Kibao Ameuawa

Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.

Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.

ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.

Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote, anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.

Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.

Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha, wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima, mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.

Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.

Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1. Dioniz Kipanya 2. Kombo Bwana Twaha 3. Godwin Mlay 4. Deusdedith Soka 5. Frank Mbise.


Soma Pia:
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595

Tlaatlaah haya ndiyo yanaendelea nchini sio bla bla. Sasa hakuna atakaye shikwa kwasababu tu huyu mzee alikuwa Chadema. Haya ndiyo mnaunga mkono iko siku watakuwa ndugu zenu ndiyo mtaelewa
 
J

jpm ndio alianzisha hivi vitengo vya kuua wapinzani na wakosoaji wake..huyu mama shungi yeye nae kaiga kuua ila policeccm wajue nao ni binadamu yana mwisho na mwisho wake ni mbaya sana
Hapana utekaji ulianza zama za JK na mtekwaji wa kwanza alikuwa Ulimboka. Alitupwa porini na kunyofolewa kucha. Wa pili alikuwa Mwandishi wa habari alingolewa Meno - alikuwa kabendera au???- alitibiwa Afrika Kusini.
 
Natakiwa na mimi nikutukane ndio twende sawa ama?

Sio kila mtu gullible wa kuambiwa kitu na kukubali tu kama unavyotaka. Unatoa baseless accusations halafu unataka tukuamini.

Kwa Sasa sina nguvu ya kutukanana mtu na kujikasirisha for no apparent reasons, wakati nahitaji full concentration kwenye mambo mengine ya maisha.

Sehemu ya kukuwa ni kuelewa pia kuna wasaa mitandaoni unaweza kuwa unabishana mkaanga mihogo mmoja ambae hana mbele wala nyuma.

Kodi yangu ya pango hapa £1500 kwa mwezi bado bills nyingine. Nahitaji kichwa changu katika hali nzuri kama una uwezo wa kujibizana kwa staha kwaheri.

👋
MAFWELE hunitishi kwa lolote
 
It pain, kwanini kuua mtu, kwanini kama mnamashaka na mtu kwanini asifichwe tu, ale asome magazeti, anyimwe mawasiliano miaka hata mitatu, KWANINI KUUA MWANADAMU MWENYE FAMILIA PENGINE INAMTEGEMEA?, KWANINI HAYA?, KWANINI UNATOA ROHO?, UNAMSAIDIA MUNGU KAZI KWA LAZIMA?, YAANI MUNGU AMESHINDWA KAZI? (KIROHO MNAFAHAMU NAFSI ZINAPOKAA?, BAADA YA MTU KUUAWA?) MTAKUJA KULIPA AIDHA NYIE, WENENU AU VIJUKUU VYENU, DAMU ZA WOTE, ZIWE JUU YENU WAHUSIKA WA HAYA,: A. D. V. C. D. V: The hand that kill deserve no life!
 
Chadema punguzeni kuandikaaaaa tu na kulaani. Maamuzi magumu yana nafasi kubwa. Mlizuiwa mlikamatwa mkadhihakiwa mkawekwa rumande mkasafirishwa kas kus mashariki na magharibi mpo kimya, vijana wenu wamekamatwa hamjui walipo mpo kutwa kuandika warudisheni,

wafia vyama mnakwama mno. Punguzeni kusifu na kuabudu kama chawa wa jirani.

Watesi wametambua uoga wenu ndio maana haya yanaendelea. Mtaitisha press conference tena then what?
Wewe unafikiri wanaondika humu kulaumu huu utekaji ni Chadema tu? Basi kama hizo ndiyo fikra zako basi wewe bwege!
 
Wewe ushajitoa kabisaa
Hii Nchi kuna namna ya kuishi..

Mambo kama ya SIASA, kugombania MALI ambazo hazikuhusu, kiherehere kisichokuwa na mbele wala nyuma, mdomo mrefu, kutafuta attention ambazo hazina maana na mengine meeengi ni kujitia alama ya Kifo, anytime unatangulizwa.

Mie nimejiepusha na hayo yote.. naishi kama Mtoto Mchanga ambae hajui hili wala lile..

Majitu yenyewe Matanzania hayana huruma, unayatetea na kujitoa mhanga, siku ukifa wala hayana habari na wewe.
 
Hili jambo lilianza taratibu sana na siku baada ya siku linazidi kukua na mwisho wake hautakuwa mzuri kabisa
 
Hao wanafanya kwa maelekezo ya mama ndio mana unaskia taarabu zake majukwani kua watu wanajiteka...yeye ndio kila kitu ndio mana kwenye vitabu vya dini hakuna nabii mwanamke
Yote hayo ni kupigania madaraka!
Binadamu ni kiumbe chenye ubinafsi wa hali ya juu mno, apate yeye akaose yule, si akose tu ikibidi apotee kabisa nipate mimi!!
Mzee wawatu alikua na familia inayomtegemea kwa namna moja ama nyingine, alikua na matarajio yake kama yuliyo nayo sisi ila ubinafsi wetu umesababisha yote hayo kuzima kama mshumaa ulio zimwa gafla, so pain aisee!
 
Hii Nchi kuna namna ya kuishi..

Mambo kama ya SIASA, kugombania MALI ambazo hazikuhusu, kiherehere kisichokuwa na mbele wala nyuma, mdomo mrefu, kutafuta attention ambazo hazina maana na mengine meeengi ni kujitia alama ya Kifo, anytime unatangulizwa.

Mie nimejiepusha na hayo yote.. naishi kama Mtoto Mchanga ambae hajui hili wala lile..

Majitu yenyewe Matanzania hayana huruma, unayatetea na kujitoa mhanga, siku ukifa wala hayana habari na wewe.
Wewe ni mfu- yaani maiti; sasa maana ya kuishi kwako haina maana
 
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
View attachment 3090046
View attachment 3090047

======


Ali Mohamed Kibao Ameuawa

Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.

Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.

ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.

Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote, anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.

Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.

Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha, wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima, mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.

Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.

Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1. Dioniz Kipanya 2. Kombo Bwana Twaha 3. Godwin Mlay 4. Deusdedith Soka 5. Frank Mbise.


Soma Pia:
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239
 
Back
Top Bottom