TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Tatizo sio JPM na wala sio Sa100. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.
Kwa hiyo maRais wapo nje ya mfumo na mauji yanayotendeka hawayajui na hawajawahi kuyasikia?
 
Yaani CCM au hata serikali ikamteke mtu ambae sio vocal kwenye siasa.

Hajulikani Tanzania zaidi ya huko ndani ya CDM.

Imteke mtu huyo na kumuua, huko sasa ndio kujitengenezea unnecessary bad publicity and reputation.

Hii ni michezo ya Mbowe na Lissu ndio maana alikamatwa. Raisi Samia kwa huruma wake akadhani anaonewa haya ndio malipo yao.

Sio watu wazuri hao.

Ni CDM walionyuma ya hivi vifo vya wanachama.

Mnapoteza maisha ya watu kishamba sana, hata hao wananchi wanaona ushamba wenu.

Very sad
Mtu kaenda kutekwa na watu wana bunduki, Pingu, na magari ambayo bila kuhoji ni yale yanayotumiwa na Serikali.

Kama hujui Mbowe angekua anaongoza magenge ya uhalifu, Serikali ingefurahi sana maana miaka yote wamekuwa wakitafuta kona ya kumbana wamuweke ndani.

Matukio ya utekaji yanaendeshwa na watu waliopo Serikalini. Nyenzo zote za utekaji ni mali za serikalini na zinakua accessed na watu waliopo serikalini

Edgar Mwakabela alipotekwa alipelekwa karakana ya Kituo cha polisi Oysterbay. Muda wote aliokua hapo, suala la chakula alihudumiwa na maaskari wa jeshi la Polisi.

Je Mbowe anaweza kufanya yote haya? Msijigeuze wajinga japo mmeshauvaa upumbavu.
 
Tlaatlaah haya ndiyo yanaendelea nchini sio bla bla. Sasa hakuna atakaye shikwa kwasababu tu huyu mzee alikuwa Chadema. Haya ndiyo mnaunga mkono iko siku watakuwa ndugu zenu ndiyo mtaelewa
kwanini haya yote yanafanyika kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani wa chadema tu?

na kwanini wahusika wa songombingo ya kabokamchizi ni kwa watu wa chadema pekee?

nafasi ya mtoa taarifa hizi wa Chadema ni ipi hasa hata aonekane kama vile alikuepo wakati wa utekaji, lakini pia yupo kama vile alikua akishuhudia mwisho wa tukio na matokeo ya utekaji?

na mbona matukio haya yanaongezeka zaidi wakati wa uchaguzi wa ngazi ya juu chadema?🐒

Kwa hali hii,
kuna anaempinga mwezake chadema alie salama kweli?

nadhani kuna haja ya uchunguzi yakinifu chadema 🐒
 
20240908_151114.jpg
 
Ni kweli inaumiza. Hii yote ni kwa ajili ya nini? Nipo tayari kwa ajili ya kuunga mkono maandamano yoyote yanayopinga mauaji ya namna hii.
Usijekujaribu kuandamana, Hawa watu wamejipanga, Dola ni zao, watawamaliza, ziko njia mbadala za kushughulika nao.
 
kwanini haya yote yanafanyika kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani wa chadema tu?

na kwanini wahusika wa songombingo ya kabokamchizi ni kwa watu wa chadema pekee?

nafasi ya mtoa taarifa hizi wa Chadema ni ipi hasa hata aonekane kama vile alikuepo wakati wa utekaji, lakini pia yupo kama vile alikua akishuhudia mwisho wa tukio na matokeo ya utekaji?

na mbona matukio haya yanaongezeka zaidi wakati wa uchaguzi wa ngazi ya juu chadema?🐒

Kwa hali hii,
kuna anaempinga mwezake chadema alie salama kweli?

nadhani kuna haja ya uchunguzi yakinifu chadema 🐒
Huna adabu kna yanayoendelea usishangae wewe ukafuata!!kemea
 
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
View attachment 3090046
View attachment 3090047

======


Ali Mohamed Kibao Ameuawa

Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.

Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.

ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.

Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote, anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.

Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.

Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha, wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima, mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.

Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.

Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1. Dioniz Kipanya 2. Kombo Bwana Twaha 3. Godwin Mlay 4. Deusdedith Soka 5. Frank Mbise.


Soma Pia:
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
NI jambo la kulaaniwa vikali!
 
kwanini haya yote yanafanyika kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani wa chadema tu?

na kwanini wahusika wa songombingo ya kabokamchizi ni kwa watu wa chadema pekee?

nafasi ya mtoa taarifa hizi wa Chadema ni ipi hasa hata aonekane kama vile alikuepo wakati wa utekaji, lakini pia yupo kama vile alikua akishuhudia mwisho wa tukio na matokeo ya utekaji?

na mbona matukio haya yanaongezeka zaidi wakati wa uchaguzi wa ngazi ya juu chadema?🐒

Kwa hali hii,
kuna anaempinga mwezake chadema alie salama kweli?

nadhani kuna haja ya uchunguzi yakinifu chadema 🐒
Kuna msingi mzuri wa hoja hapa umejaribu kuujenga japo unaweza kupingwa vikali na watu fulani....kwanini iwe hiki kipindi na kwanini iwe kwa wafuasi wa Chama fulani tu?
 
kwanini haya yote yanafanyika kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani wa chadema tu?

na kwanini wahusika wa songombingo ya kabokamchizi ni kwa watu wa chadema pekee?

nafasi ya mtoa taarifa hizi wa Chadema ni ipi hasa hata aonekane kama vile alikuepo wakati wa utekaji, lakini pia yupo kama vile alikua akishuhudia mwisho wa tukio na matokeo ya utekaji?

na mbona matukio haya yanaongezeka zaidi wakati wa uchaguzi wa ngazi ya juu chadema?🐒

Kwa hali hii,
kuna anaempinga mwezake chadema alie salama kweli?

nadhani kuna haja ya uchunguzi yakinifu chadema 🐒
Sio kila jambo la kuleta mzaha. Kuna masuala ya utani wa kivyama lakini kwenye suala hili jitajidi kuwa serious basi
 
Inasikitisha sana.............haki ya kuishi haiwezi kuthamanishwa na kitu chochote

Chanzo cha taarifa ya utekaji niliona twita kwa Bonny x-mayor,msiba pia nimeona kwa Bonny x-mayor......hata jamii forums ndiyo walitumia kama source......... binafsi inanipa mixed feelings
 
Kuna msingi mzuri wa hoja hapa umejaribu kuujenga japo unaweza kupingwa vikali na watu fulani....kwanini iwe hiki kipindi na kwanini iwe kwa wafuasi wa Chama fulani tu?
👊💪tupo pamoja gentleman,

nakubali kupingwa kwa hoja, but why all this at a time of chadema elections?🐒
 
Katika hali yoyote ile, Waziri wa mambo ya ndani ya nchi kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu ni dharau na kejeli kubwa kwa Watanzania.

Mkuu wa Polisi pia afanye maamuzi magumu japo sioni kama ni magumu, yeye kuendelea kuwa katika nafasi hiyo pia ni aibu kwake na mzigo mzito.

Tunaelekea wapi kama taifa? Sijui!
 
Anaandika Boniyai kutoka Account yake ya X
View attachment 3090046
View attachment 3090047

======


Ali Mohamed Kibao Ameuawa

Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu umekutwa hospitali ya Mkoa wa Kinondoni,Mwananyamala katika chumba cha kuhifadhia maiti mwili wake ukiwa UMEHARIBIWA VIBAYA SANA.

Mwili wa ALI MOHAMED KIBAO ulikutwa umetupwa jana alfajiri maeneo ya UNUNIO (jirani na viwanja vya NSSF) ukiwa na majereha makubwa sehemu za usoni kiasi ndugu zake walipata tabu kuutambua kirahisi.

ALI MOHAMED KIBAO alikamatwa na watu wanao dhaniwa kuwa ni askari wa Jeshi la Polisi eneo la TEGETA, mbele ya Jengo la KIBO COMPLEX baada ya gari mbili za Jeshi za Polisi za Landcruiser hardtop nyeupe kuzuia (block) basi la TASHIRIF lenye namba T 343 EES alilokuwa amepanda ALI MOHAMED KIBAO kutoka Dar es saalam kuelekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.

Kwa bahati nzuri wakati wote wa tukio likitendeka ndani ya gari palikuwa na askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani (Traffic) ambaye alikuwa kiti cha mbele kama abiria na alishuhudia tukio lote, anatambulika kama MACHIWA anayepatikana kwa namba 0652484802.

Namba ya simu aliyokuwa anatumia ALI MOHAMEDKIBAO ni +255 624 724 247 mpaka wakati anatekwa na kwenda kuuwawa,pia ndiyo namba ambayo mara kadhaa waliomteka walikuwa wakimpigia kuhakiki kama ni yeye.

Kwa mujibu wa wenyeji wa UNUNIO ambao ni walima mchicha, wanasema Jana asubuhi walitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi baada ya Kuona mwili wa Mtu mzima, mweupe mwenye asili ya Kiarabu ambaye baadae Jana jioni ndugu waliutambua kuwa ni mwili ALI MOHAMED KIBAO ukiwa na majeraha.

Kabla ya umauti wake ALI MOHAMED KIBAO aliwahi kuwa afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akastaafu na kujiunga na CCM,baadae akachaguliwa kuwa Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Tanga wakati wa Rais Kikwete,na baadae alijiunga CHADEMA.

Baada ya mauaji haya ya Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA na Msaidizi wa Katibu Mkuu kuwawa idadi ya Viongozi wa CHADEMA wakiotekwa inaongezeka
1. Dioniz Kipanya 2. Kombo Bwana Twaha 3. Godwin Mlay 4. Deusdedith Soka 5. Frank Mbise.


Soma Pia:
Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
This is Terrorism, targeted killings.

Mazee tuwaachie Nchi yao watatumaliza.

Mwenyezi Mungu akawalaani Wana wa Seruya na kusema Na Damu Yake Abneli iwe juu ya mikono yenu na uzao wenu woote.

Ktk ukoo wao paskose mtu mlemavu, ukoma njaa na tabu za hapa na pale.

Amina.
 
Back
Top Bottom