kwanini haya yote yanafanyika kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani wa chadema tu?
na kwanini wahusika wa songombingo ya kabokamchizi ni kwa watu wa chadema pekee?
nafasi ya mtoa taarifa hizi wa Chadema ni ipi hasa hata aonekane kama vile alikuepo wakati wa utekaji, lakini pia yupo kama vile alikua akishuhudia mwisho wa tukio na matokeo ya utekaji?
na mbona matukio haya yanaongezeka zaidi wakati wa uchaguzi wa ngazi ya juu chadema?🐒
Kwa hali hii,
kuna anaempinga mwezake chadema alie salama kweli?
nadhani kuna haja ya uchunguzi yakinifu chadema 🐒