Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

Deodatus Thadei Luhela, Mhasibu wa Kampuni ya ‘Your Home Choice’’ amekamatwa kwa kutoa taarifa za uongo akidai Majambazi walimjeruhi na kumpora fedha za Mwajiri wake.

Mtuhumiwa alifungua kesi ya unyang'anyi kituo cha Polisi Chang’ombe, baada kubanwa kwa maswali ya Askari, aliwapeleka Chanika Kitunguu na kuonesha fedha hizo.

Jeshi la Polisi limewatahadharisha Wananchi juu ya tabia ya kutoa taarifa za uongo kuwa ni kosa na ikibainika watachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja kufikishwa Mahakamani.

=====================

“Tukio limetokea November 14,2022 eneo la Chang’ombe Temeke ambapo Mtuhumiwa huyo alidai tarehe hiyo majira ya saa 3:30 asubuhi alikamatwa na Majambazi wawili waliokuwa na gari nyeusi baada ya kumtishia kwa silaha baadae akaingizwa kwenye gari ambapo walimjeruhi mkono wa kushoto na shavuni, na kumpora fedha alizokuwa nazo na baadae kumtupa maeneo ya Gongo la Mboto njia panda ya Pugu na Mbezi alijikongoja hadi kituo cha Polisi kidogo cha Gongo la Mboto ambako alipewa PF. 3 kwaajili ya matibabu.

“Baada ya tukio hilo majira ya saa 8 :00 mchana Mtuhumiwa huyo alifungua kesi kituo cha Polisi Chang’ombe ya unyang’anyi na kuporwa tsh 60,000,000, Makachero wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam walimuhoji kwa kina na kubaini kuwa taarifa hizo zilikuwa ni za uongo na ilipofika tarehe 15/11/2022 majira ya saa 8 :00 mchana Mtuhumiwa aliwaongoza Askri hadi Chanika Kitunguu alipokuwa amezificha pesa hizo”

“Jeshi la Polisi linawatahadharisha Wananchi juu ya tabia ya kutoa taarifa za uongo kwa Maafisa wa Serikali kuwa ni kosa na ikibainika watachukuliwa hatua stahiki kwa mujibu wa sheria ikiwa ni pamoja kufikishwa Mahakamani”

POLISI KANDA MAALUM DAR
Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .
 
Nachowapenda polisi wa Ukikanyaga anga zao lazima utaimba lugha hata wewe usioijua
 
Alitakiwa ahakikishe anaandaa watekaji kwanza bila kutumia simu kabisa, angetafuta hata mabaunsa walioshiba watatu, angehakikisha wale jamaa wanafahamu muda halisi na wajulishwe kua eneo atalokua anatoka kuna walinzi wenye silaha au hawapo na jirani na pale kuna mazingira gani, je kituo cha polisi kiko mbali au karibu, hapo wangetafuta silaha kama mapanga na bunduki feki maana mchongo wangeujua 100% , na baruti kali za kulipua ili kutisha, ahakikishe wavamiaji wanakua na pikipiki boksa namba wanazitoa na juu wavae mask na pullneck ambapo baada ya uvamizi wataondoka kwa kasi sana dakika tatu nyingi wanatakiwa wabadili manguo yale wachome moto then wasogee mbele wabandike namba za pikipiki zao, timing ni atekwe bosi na mfanyakazi hivo pesa inachukuliwa mbele ya Bosi, yeye na watu wake watakutana mbele ya safari na pesa haingizi mwenye akaunti yake, ndio hivo mpango ukivuja ajijue lakini hadi hapo pesa ingeondoka kilaini sema ndio hivo
Ubaya boss ana chuma ya kikweli angeweza kuwaua wahuni
 
Mwamba katuangusha.
Alishindwa kujipanga mpaka mwisho na kuvumilia kichapo
Ushawahi kuminywa kende zako zikavutwa kwenda chini alafu anaezivuta ni mwanamama mmoja alieshiba anakuminya huku anakubembeleza ueleze ukweli, ukileta ubishi unapigwa virungu vya magotini?
 
Si waseme tu walimpelekea gereji kumminya mbupu ? Polisi wa nchi hii hawana historia ya kuexctract ushahidi kwa normal interrogation ya conversation , wao ni always ni kutorture mtu .Akili ya kufanya in-depth investigation physyco analysis kama polygraph tests na kufuatilia character na maelezo ya mshutumiwa / kucollect evidences na kuzi analyse hawana .

Unadhani ushahidi dunia nzima unapatikana kwa maongezi? Au unadanganywa na watu wa haki za binadamu? Halafu polisi japo wana madhaifu lakini kwenye kudeal na wahalifu wao hua wana ushahidi kabisa, na ndio maana kipindi cha magu walitumia elimination method unafuatwa kwako unapotezwa kimyakimya kama sio jambazi na haufanyi uhalifu kamwe hao askari hutokutana nao,
 
Jamaa alikosea kuchora mchoro. Nasisitiza unapotaka kufanya tukio la janja janja au kama ilo nenda kajikabidhi kwa polisi kwanza. Wao ndio watakusaidia namna ya kuishi kimaster.

Pia jamaa anaonekana anamkono mfupi alitaka kula million 60 peke yake
Ila kwwli
 
Deodatus Thadei Luhela, Mhasibu wa Kampuni ya ‘Your Home Choice’’ amekamatwa kwa kutoa taarifa za uongo akidai Majambazi walimjeruhi na kumpora fedha za Mwajiri wake.

Mtuhumiwa alifungua kesi ya unyang'anyi kituo cha Polisi Chang’ombe, baada kubanwa kwa maswali ya Askari, aliwapeleka Chanika Kitunguu na kuonesha fedha hizo.

Jeshi la Polisi limewatahadharisha Wananchi juu ya tabia ya kutoa taarifa za uongo kuwa ni kosa na ikibainika watachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja kufikishwa Mahakamani.

=====================

“Tukio limetokea November 14,2022 eneo la Chang’ombe Temeke ambapo Mtuhumiwa huyo alidai tarehe hiyo majira ya saa 3:30 asubuhi alikamatwa na Majambazi wawili waliokuwa na gari nyeusi baada ya kumtishia kwa silaha baadae akaingizwa kwenye gari ambapo walimjeruhi mkono wa kushoto na shavuni, na kumpora fedha alizokuwa nazo na baadae kumtupa maeneo ya Gongo la Mboto njia panda ya Pugu na Mbezi alijikongoja hadi kituo cha Polisi kidogo cha Gongo la Mboto ambako alipewa PF. 3 kwaajili ya matibabu.

“Baada ya tukio hilo majira ya saa 8 :00 mchana Mtuhumiwa huyo alifungua kesi kituo cha Polisi Chang’ombe ya unyang’anyi na kuporwa tsh 60,000,000, Makachero wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam walimuhoji kwa kina na kubaini kuwa taarifa hizo zilikuwa ni za uongo na ilipofika tarehe 15/11/2022 majira ya saa 8 :00 mchana Mtuhumiwa aliwaongoza Askri hadi Chanika Kitunguu alipokuwa amezificha pesa hizo”

“Jeshi la Polisi linawatahadharisha Wananchi juu ya tabia ya kutoa taarifa za uongo kwa Maafisa wa Serikali kuwa ni kosa na ikibainika watachukuliwa hatua stahiki kwa mujibu wa sheria ikiwa ni pamoja kufikishwa Mahakamani”

POLISI KANDA MAALUM DAR

Matukio ya ujambazi yanayotokea polisi wanakuwa na taarifa zake mapema kabisa na baada ya tukio wanakula mgao wao!! Cha kushangaza waliona hawakuwa na taarifa yoyote ambayo walipewa mapema na "washirika wao" hivyo wakajua kwamba ni uongo.
 
Kuna afande huwa anasema hata vijana wa arusha walioshindikana waliokuwa wasumbufu kwa serikali na waandamanaji kuna jambo walofanywa ndo maana huwakuti tena barabarani wakiandamana

Litakua jambo zuri hadi wanatulia kabisa
 
Alitakiwa ahakikishe anaandaa watekaji kwanza bila kutumia simu kabisa, angetafuta hata mabaunsa walioshiba watatu, angehakikisha wale jamaa wanafahamu muda halisi na wajulishwe kua eneo atalokua anatoka kuna walinzi wenye silaha au hawapo na jirani na pale kuna mazingira gani, je kituo cha polisi kiko mbali au karibu, hapo wangetafuta silaha kama mapanga na bunduki feki maana mchongo wangeujua 100% , na baruti kali za kulipua ili kutisha, ahakikishe wavamiaji wanakua na pikipiki boksa namba wanazitoa na juu wavae mask na pullneck ambapo baada ya uvamizi wataondoka kwa kasi sana dakika tatu nyingi wanatakiwa wabadili manguo yale wachome moto then wasogee mbele wabandike namba za pikipiki zao, timing ni atekwe bosi na mfanyakazi hivo pesa inachukuliwa mbele ya Bosi, yeye na watu wake watakutana mbele ya safari na pesa haingizi mwenye akaunti yake, ndio hivo mpango ukivuja ajijue lakini hadi hapo pesa ingeondoka kilaini sema ndio hivo
Kwa kuongezea tu,kwenye hiyo script kuwe na begi ambalo halina pesa, pesa zifichwe kabla ya hayo maigizo
 
Huyu jamaa hopeless kabisa!
Si bora hata angekodi majambazi original wakaandaa script angepigwa hata ka risasi ka bega na watu wasingestukia kuliko kufanya upuuzi kama huu anakamatwa kizembe sana
Unapigwa hata ya bega hivi,halafu unawatoa 10M wanasepa zao.
Hata unakatwa mkono unashindwa unafungwa pop maisha yanasonga baada ya mwaka unapona.
 
Mimi sio askari ila huyo muhasibu story yake nisingeikubali..

Jambazi huwa hapotezi muda, sasa jambazi gani atembee na muhasibu kwenye gari mpaka akamtupe mbele mbele bila kumuua
Jamaa fala sna ilibd tukio lipigwe kweli watu wale vyuma mpunga usepe
 
Back
Top Bottom