Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

Nakubaliana na wewe 100%. Polisi kama sio mhalifu hawanaga muda kabisa.
 
Bora angeamua kutimka tu na mzigo wote,
Huo mchezo wa kitoto sana,
Police walishauliza kwenye network zao wakajuwa kabisa hakuna robbers aliyepiga pesa hizo Kwa siku hyo,jamaa mzushi ..

Police wa kitanzania umwambiye Kuna pesa mahali akili zote zinahamia kwenye pesa.

Ktk kesi za ujambazi hata police wana network fulani fulani na hawa robbers na wanajuwana vizuri sana..

Linapotokea tukio sehemu fulani,
kuna watu ambao ni retired robbers,,
au hata kama bado wapo kwenye mtandao huo,
Ambao wana link na matukio mengi sn mjini.

Police hufanya mawasiliano na hawa wahalifu na kuuliza kama wanatetesi zozote?
Au retired robbers watabanwa mwishowe wanapata link ya tukio.

Kama tukio la kweli watasema, kweli jamaa wamepiga ila ni watu wa sehem fulani

Ipo hivi,,,,
Kabla ya tukio lolote la kihalifu kufanyika.
Kwanza lazima watu wakutane wajadili deal mezani,,

Mleta deal analeta deal mezani,,
watajadili na kupanga mikakati.

Hapo watatafutwa robbers wanaoweza kufanya kazi hiyo.,,

Na hapo wakati wa mtafutano ndy hapo baadae Siri zinakuja kuvuja na kuwafikia police..,,

Hapo ndy hupelekea watu kuuzana na kukamatwa na Police.

Utasikia police wanaosema "tumepata taarifa kutoka Kwa raia mwema,"
Kumbe Kuna robbers fulani wamesaliti wenzao.
 

Hizi mambo wanaweza watu wa kaskazini tu, akiziwaza zile hela anavumilia pigo lolote
 
Mtaalam wa kupanga atupatie mbinu za kutokamatwa maana wote mnamlaumu mtuhumiwa kwamba hajui kupanga tukio.
1. Ukishajiteka cha kwanza unazima simu na kuitenganisha na laini kisha kila kimoja unakitupa eneo tofauti

2. Kafiche mzigo mahali unapopaamini

3. Unatumia boda tofauti kama tatu hivi ama zaidi kukufikisha nje ya mji

3. Utakaposhuka tembea umbali wa kilometre moja ama zaidi kwenye vichaka

4. Toa kichupa chako kidogo chenye dawa ya kulevya kisha kitupe mbali

5. Utaokotwa na was a maria we ma name kugikishwa hospital..
 
jamaa alishindwa kutumia suspense account ... ambayo vijana wengi wamekuwa wakitumia kufanyia mambo yaooo

mchongo umeshindikana ... kuzidi kuambulia maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…