mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Aliposikia njoo tuonane nmepata hela ya mchezo...zungu faster kasahauuuuZungu mteremko umemponza unanunuliwaje bia
Kumbe anajipeleka mdomoni mwa mwamba
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliposikia njoo tuonane nmepata hela ya mchezo...zungu faster kasahauuuuZungu mteremko umemponza unanunuliwaje bia
Wazee wa mteremko maisha yao huwa yanaishia pabaya,free pumbu imemletea kifoAliposikia njoo tuonane nmepata hela ya mchezo...zungu faster kasahauuuu
Kumbe anajipeleka mdomoni mwa mwamba
Ova
si unaondoka ukaanze upya...hata kwa sheria......sasa anaenda kuliwa na askari magereza MILELE..........hakuna kitu tamu kama UHURU binafsi ada yangu......maamuzi ya hasira ni mabaya sanaHamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Ngojeni tuingie jikoni, mtakuwa wa kwanza kutangulia central. 😀😀😀Ndo kama hivyo mkuu, jitahidini kukaa na wanawake kwa akili. Hawa wa kizazi hiki wamevurugwa mno. Hawakawii kufanya mambo magumu
Nadhani itakuwa poa sana ukiyatamka haya maneno siku akifanyiwa ukatili huu mtoto wako wa kiume au mdogo wako wa kiume au kaka yako.Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
Jana anehukumiwa Bi Grace anehukumiwa kunyongwa mpaka kufa
AseeJana anehukumiwa Bi Grace anehukumiwa kunyongwa mpaka kufa
🙆🙆🙆Ngoma inogile, ngapi ngapi huko jamani?
Vipi jirani?
Swalama jirani, umeamkajeVipi jirani?
Salama kabisa.Swalama jirani, umeamkaje
Ameshindwa kumlipa Kibatara. Amepata stahili yake, Mungu ampe uvumilivu.Jana anehukumiwa Bi Grace anehukumiwa kunyongwa mpaka kufa