Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Lakini aliyechoma hana dhambi?Aisee, duniani kachomwa kwa sababu ya dhambi, mbinguni tena moto mwanana unamsubiri. Ila angalau atakuwa tayari ako na uzoefu.
Tena huyo ndio moto utakuwa mkali mno.