Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

mkuu
huyo jamaa amechomwa moto na mchepuko ambaye ndo huyo neema.. na hata hiyo nyumba iliyochomwa moto ni ya baba yake neema.
Jamaa alikuwa na mke na watoto wawili, lakini mkewe hahusiki ni neema mchepuko ndio alinunua petrol na kupiga moto. jamaa alikuwa kinyozi anaitwa zungu
 
mkuu
huyo jamaa amechomwa moto na mchepuko ambaye ndo huyo neema.. na hata hiyo nyumba iliyochomwa moto ni ya baba yake neema.
Jamaa alikuwa na mke na watoto wawili, lakini mkewe hahusiki ni neema mchepuko ndio alinunua petrol na kupiga moto. jamaa alikuwa kinyozi anaitwa zungu
Amekufa kifo cha aibu
 
mkuu
huyo jamaa amechomwa moto na mchepuko ambaye ndo huyo neema.. na hata hiyo nyumba iliyochomwa moto ni ya baba yake neema.
Jamaa alikuwa na mke na watoto wawili, lakini mkewe hahusiki ni neema mchepuko ndio alinunua petrol na kupiga moto. jamaa alikuwa kinyozi anaitwa zungu
Aisee, duniani kachomwa kwa sababu ya dhambi, mbinguni tena moto mwanana unamsubiri. Ila angalau atakuwa tayari ako na uzoefu.
 
Hilo kabila sio kabisa, asubiri mtiti wake hapo kesi haina hata chembe ya ukakasi hata uweke mawakili mia kitendo cha kumfungia mumewe ndani ili asitoke na kuokoa uhai wake na kisha kumwaga petrol kuzunguka nyumba inaonyesha namna gani alikuwa na nia ovu, kimsingi ni tamaa za mali unakuta walikuwa na biashara na viusafiri kwamba abaki navyo peke yake ndio akili yao wanawake wa hilo kabila sasa ataozea magereza mpaka atazeekea huko hizo hela atazisikia tu.
 
Huwezi kuepuka KUULIWA... Kamwe.

Kama unalala na mtu kitanda kimoja basi ujue kbs muda wowote litakufika jambo

Anaweza asikuue kwa kutumia nguvu bali SUMU!!

si lazima akuchome moto bali hata ukipuliziwa hewa yenye sumu ukiw umelala utakufa hata ukiw macho pia utakufa

Kama anakupikia chakula na unakula kwanini usifee?

Huwezii kiepuka kifo kama uliyenae anakuwinda.

Nini kifanyike?!

Mchunguze mpenzi ulienae kwa umakini na hakikisha yupo sawa kiakili na kihisia
 
Naongezea ukishaona dada amepinda mgongo kuja mbele. Namaanisha akitembea kifua kinataka kuonekana mbele kama vile yuko kwenye gwaride. Kama unaenda kwake hakikisha suala la tako sio kipaumbele

Hiki ni kipengele kwenye hicho kifungu cha katiba hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] very interesting.
 
Pole yake marehemu. Lakini alishindwa nini kung'amua hatari iliyopo mbele yake iwapo alishakoswa koswa na petrol mara ya kwanza kama mwanajamvi mmoja alivyoeleza kwenye huu uzi? Pia marehemu alishindwa nini kujua mapema kama ana "date" na kichaa kabisa? Huyo mwanamke kwangu mimi ni kichaa kabisa ni wale machizi fresh ambao wapo wengi wa kike na kiume huku mitaani. Mpaka kufikia kuchoma nyumba ni lazima huyu mwanamke alishafika levo za kuongea mwenyewe kwa sauti na lazima alikuwa anataja jina la merehemu na kujiapiza mara nyingi tena kwa ubaya. Kama marehemu na watu waliokuuwa karibu naye walichukulia poa basi matokeo ndiyo hayo.

Kwa binadamu mwenye akili timamu hawezi choma nyumba ambayo ina wapangaji wengine ndani tena tunaambiwa hapa mama na mtoto walikuwa ndani chumba kingine wakatoka salama, kuna fremu ya fundi piki piki na duka la dagaa achilia mbali hasara aliyompa mmiliki wa nyumba. Mtu ambaye amewapa hasara zisizo na fidia wenzake waliodunduliza kupata mitaji kisa huyo Mario wake aliyekuwa anampa bia za bure huyo sio mzima wa akili na ni mbinafsi kwa kiwango cha juu.

Angalizo kwenye mahusiano; ukiwa mme au mke ukiona mbele hakuna mwanga basi chukua maamuzi magumu ya kuondoka au kuachana bila kujali mali, vitega uchumi na muda uliowekeza kwani uhai ni mali zaidi ya hivyo vyote. Ukipuuza na kuona ngoja nivumilie au watu watasemaje basi ndiyo hayo ya petroli na gunia za mbili za mkaa yatakukuta.
Noted.
 
Mkazi wa makabe anayeitwa Grace amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010


!
!
Naomba Instagram Page Niifate Mwenyewe Naona Jf Wamefuta Picha Ulizoattach Hapo. Pumbavu Kabisa Hawa Maadmin Wa Huku. Nisaidie Jina La Hyo Akaunti Niifate Mwenyeww
 
[emoji23][emoji23] wanawake wa sasa hawataki ujinga, ukisaliti unasalitiwa. Ukizingua wanakuzingua. Wanaume wakae kwa kutulia na wanawake zao, vinginevyo nyuzi za lawama hazitaisha humu jamvini
Mnataka league! Mnauhakika mtaiweza?
 
Ni kumuomba mwenyezi Mungu apishe mbali,yanaweza yadikutokee wewe,ila ukafanya wewe kama haya yaliyofanyika,hakujua kuna mkono wa serikali utamuweka chini ya ulinzi,!Si ajabu anajuta huko selo!
 
Back
Top Bottom