Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
katoa boko yaani anashabikia kutoa uhai wa mtu? hapana aisee napingana na kila aina hili maumivu ya mapenz yapo yanapita na hata huyo dem sio kwamba huyo marehem ndio alikuwa jamaa yake wa kwanza hiyo ngumu sana kwa vizaz vya sasa kuna watu wamefungua njia hapoWell said member. Ndio maana naendelea kumshangaa huyu Bwana Mshana Jr kwa kutetea unyama huu tena kwa makala zake ndefu.