Tunaruhusiwa kutumia lugha ya picha mie nahitaji jibu ndiye yupi huyoooo!!
Walizomzikia ama zipi?Amevaa nguo kama za magufuli
Nakumbuka Kauli ha CDF siku ile Chato. Mama Sisi tutakulinda.Rais Samia leo akiwa amevalia nguo za kijeshi amehudhuria ufunguzi wa kikao cha mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Lugalo, Dar es Salaam. Rais Samia anatarajiwa kuhutubia kwenye kikao hicho.
View attachment 2011024
https://www.facebook.com/
Nyie wafuasi wa dikteta crazy wa Nchi ya mbali, aliyepingana na sayansi na hatma yake likafa kifo Cha aibu.Huyu kifutu mfupi ni nani?
Wewe mavi Dikteta anaozea mavumbini. Kuna kifutu fulani kanaigiza kila kitu! Hakana mbele wala nyuma! hata urais hakaufahamu. Nchi imepigwa photocopy by Humfrey polepole" original anaendesha Jakaya na timu yakeNyie wafuasi dikteta aliyepingana na sayansi na hatma yake hakafa kifo Cha aibu.
Mna chuki Sana na Mama, kenge nyinyi, tutawashughulikia!
...Avae kama dokta wa upasuajiNimecheka dah watu hamna Dogo. Akienda kutembelea Mahututi au maiti Mortuary avae nini?
Hili swali ungeuliza kipindi kile msukuma mwenzenu anavaa hizo gwanda tungekupa jibu!!Hivi kwa nini mkapa,mwinyi & Nyerere hawakupenda kuvaa hizo gwanda
kumbe we ni chakula ya Musiba, tutawashughulikia kenge nyinyi,hakuna rangi mtaacha kuiona,
Mmejipanga kumchafua mama
Nyerere alikuwa anavaa hizo nguo hata alipotutembelea kule Mutukula alizivaa.Hivi kwa nini mkapa,mwinyi & Nyerere hawakupenda kuvaa hizo gwanda
Atuambie kwanini makomando wetu hawathaminiwi? Wanafukuzwa kazi kwa sababu za ajabuajabu kabisaRais Samia leo akiwa amevalia nguo za kijeshi amehudhuria ufunguzi wa kikao cha mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Lugalo, Dar es Salaam. Rais Samia anatarajiwa kuhutubia kwenye kikao hicho.
View attachment 2011024
https://www.facebook.com/
Mortuary attendant?...Avae kama dokta wa upasuaji