Dar: Amiri Jeshi Mkuu rais Samia, Wananchi Waelimishwe umuhimu wa amani na madhara ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi

Dar: Amiri Jeshi Mkuu rais Samia, Wananchi Waelimishwe umuhimu wa amani na madhara ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi

Huko haina mvuto, unakumbuka vile vi sketi vya trafic zamani mie ndio naongelea huko.. usiendelee kufukunyua fukunyua nisije onekana mtovu wa nidhamu
Kama hawa hapa?

images (8).jpeg


images (7).jpeg


images (6).jpeg


images (5).jpeg
 
Raha yake nn , inawez ikawa interest ya muda mfupi kwakuw haupo kwa mfumo


Ila kiufup kwa 94% wengi baadae huchoshwa na kuvaa uniform za kazi hasa unapokuw maeneo mchanganyiko ukiw unapta alone huw haui comfortable.
Ila gwanda zina raha yake aisee.....
 
Hii ni ccm halisi,hile ya yule chizi wenu ilikuwa ccm ya washamba,

Chama Sasa kimerudi kwa wenyewe ,na hatutokaa tufanye makosa yakuwakabidhi chama washamba na wenye roho za kishetani

chizi aliwanyoosha kweli kweli.
 
Raha yake nn , inawez ikawa interest ya muda mfupi kwakuw haupo kwa mfumo


Ila kiufup kwa 94% wengi baadae huchoshwa na kuvaa uniform za kazi hasa unapokuw maeneo mchanganyiko ukiw unapta alone huw haui comfortable.
Upo sahihi, ila siku moja moja kama siyo lazima inakuwa Poa
 
Back
Top Bottom