Dar: Amiri Jeshi Mkuu rais Samia, Wananchi Waelimishwe umuhimu wa amani na madhara ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi

Dar: Amiri Jeshi Mkuu rais Samia, Wananchi Waelimishwe umuhimu wa amani na madhara ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi

Nakumbuka Kauli ha CDF siku ile Chato. Mama Sisi tutakulinda.

Nilikuwa namsikiliza Waziri wetu wa ulinzi Stagomera Tax akisoma risala kwa hao macammandant!!! Naamini kwa dhati kabisa kuwa Rais Samia hakushauriwa vizuri kumteua huyu mama katika nafasi hiyo; huyu mama alipaswa awe waziri wetu wa FEDHA na hapo ulinzi angeteuliwa mwanaume mwingine kwa kuzingatia mapana makubwa ya utamaduni wetu katika mambo ya vita!!!
 
Lakini Rais si Amiri jeshi mkuu!!??..i.e na yeye ni Mwanajeshi

Mkuu kwanini tuone ajabu yeye kuvaa gangwa za kijeshi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Katika demokrasia, jeshi linasimamiwa na kuamrishwa na utawala wa kiraia. Hivyo, Rais hahitaji kuvaa kijeshi kuthibitisha mamlaka yake.

Lakini, ndio hivyo tena, katika nchi zetu hizi ambazo wengi hufikiri jeshini ni mahali pa miguvu na mitulinga, gwanda la jeshi huwa propaganda nzuri kuwaonyesha wananchi kuwa Rais naye ana maguvu kama au kumzidi CDF! A nice gimmick for weak minds.
 
Back
Top Bottom