kookaburra
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 563
- 1,416
what happenedNdio maana mimi toka 2009 nimeacha kupiga watoto, NEVER and NEVER AGAIN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what happenedNdio maana mimi toka 2009 nimeacha kupiga watoto, NEVER and NEVER AGAIN
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]E bhana kinyundo penye mshono maana si kwa povu hili [emoji375][emoji847]
Yaani hii dunia ya kijinga sana hasa kwa kizazi hiki cha kitumwa ambacho hakijui historia yake,kilichodanganywa na historia za filamu za kimagharibi na miziki.Kwani nimekataa kuwa huko watu walikufa , unaushamba za mijadala na kukurupuka kama kibinti kilichovunja ungo Jana
USSR
acha ulongo ,leo kauwa wangapi ?na jana wangap?Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku
USSR
Pongezi Sana Kwa Majirani Kwa Kujali...Jeshi Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Mwanamke mmoja kwa tuhuma za mauaji ya Mtoto wa Mdogo wake aliyekuwa na umri wa miaka miwili (2) na miezi minne. Mtuhumiwa huyo LATIFA BAKARI (33), mkazi wa Mabibo aliachiwa mtoto huyo na mdogo wake kwa lengo la malezi na Tarehe 05/04/2022 mtuhumiwa alifanya mauaji hayo baada ya kumpiga kupita kiasi mtoto huyo.
Baada ya kubaini kuwa mtoto huyo amefariki baada ya kipigo, mtuhumiwa tarehe 06/4/22 aliuchukua mwili wa mtoto (marehemu), kuukunja, kuuweka kwenye ndoo ya plastiki kisha kuudumbukiza kwenye kiroba na kwenda kuutupa eneo la River Side UBUNGO.
Baada ya majirani kutomuona mtoto huyo kama ambavyo si kawaida walitoa taarifa Polisi, Polisi ilimuhoji kwa kina mtuhumiwa akakiri mauaji hayo na kwenda kuwaonesha Polisi mwili wa mtoto huyo ulipokuwa. Mwili huo umepelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi na mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo baada ya mifumo ya kisheria kukamilika.
Muliro J. MULIRO – ACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.
Sio kuna ...Kuna wanawake wana roho mbaya kuliko hata huyo wa kuitwa Shetani
Li Bush liliua Iraq na afghanistan, Li Obama's likaenda Libya kumuua Babu yako Ghadafi.Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku
USSR
amen.😭😭😭😭 walaaniwe wote wanaonyanyasa watoto na kuwapiga au kuwadhuru
Aminamen.
Na wote wanaotoa toa mimba.
Hapo kuna mengi ya mambo yaliyoingiliana na kuivuruga kabisa saikolojia ya huyo muuwaji!Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku
USSR