DAR: Amuua mtoto wa mdogo wake kwa kipigo, aufunga mwili kwenye ndoo kisha kuutupa Ubungo

Sijui ndio kulewa Asubuhi subuhi ila chozi limenitoka, everything is wrong kwenye hili tukio. Kipigo Kwa 2 yrs old,kipigo kikali mpaka kufa,kuufinyanga mwili kwenye ndoo na kwenda kuutupa..

kusema kweli polisi wetu japo wanazingua ila wanakumbana na vitu vingi sana vya kushtua. Imagine polisi anayeshughulikia kesi hii kisaikolojia inamuathiri vp. Poleni sana polisi hakika mnakumbana na vingi sana,poleni sana.
 
Kwani nimekataa kuwa huko watu walikufa , unaushamba za mijadala na kukurupuka kama kibinti kilichovunja ungo Jana


USSR
Yaani hii dunia ya kijinga sana hasa kwa kizazi hiki cha kitumwa ambacho hakijui historia yake,kilichodanganywa na historia za filamu za kimagharibi na miziki.

Leo wanaona hiyo vita ya Urusi kama ya Dunia nzima,na huyo Rais wa Ukreini na wazungu wameteka akili za waafrika wajinga wakati ingekuwa inchi ya Africa au Asia usingesikia watu hata kulialia
 
Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku


USSR
acha ulongo ,leo kauwa wangapi ?na jana wangap?
ya putin yaache kama ni matured hakuna vita iliyoua watoto wengi kama syria,iraq,libya ,afughanstan :
ACHANA NA PROPAGANDA ZA WEST
 
Pongezi Sana Kwa Majirani Kwa Kujali...
 
Not all women are meant to be mothers.

Some women are the devils immediate agents here on earth.

Sheria ifate mkondo wake jamani hatuna mengi ya kuongea.
 
Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku


USSR
Li Bush liliua Iraq na afghanistan, Li Obama's likaenda Libya kumuua Babu yako Ghadafi.
 
Kubeba lile tumbo adi miezi 9 ifike,ije ufe ya kujifungua yale mawazo ya je ntamaliza salama au?alafu mtoto anafika miaka 2 ndugu yako anamuua?
Yesu amfariji mama mtoto!
Malaika wa Mungu apumzike kwa amani!
 
Watu wana roho za kishetani sana kuna hii moja msichana wa kazi alichokifanya mimi mwenyewe chozi limenitoka,ni Oman house girl ni mu indonesia,wakati mwingine cjui tuamini mashetani twaishi nao?
Angalia video
Your browser is not able to display this video.
 
Sijui aliwaza nn naumia sana kuuwa watoto Kuna lijamaa linaitwa Putin linauwa watoto kila siku


USSR
Hapo kuna mengi ya mambo yaliyoingiliana na kuivuruga kabisa saikolojia ya huyo muuwaji!

Chanzo huenda ni kuadhibu mtoto kwa nia njema, sasa baada ya kugundua kaua, ndiyo hivyo vipande vingine vya mnyororo vikajiunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…