DAR: Amuua mtoto wa mdogo wake kwa kipigo, aufunga mwili kwenye ndoo kisha kuutupa Ubungo

Hapo kuna mengi ya mambo yaliyoingiliana na kuivuruga kabisa saikolojia ya huyo muuwaji!

Chanzo huenda ni kuadhibu mtoto kwa nia njema, sasa baada ya kugundua kaua, ndiyo hivyo vipande vingine vya mnyororo vikajiunga.

seriously kabisa eti kumuadhibu mtoto wa miaka 2?
Kwa mtazamo wangu mtoto wa miaka 2 hastahili kuadhibiwa kwa kipigo
 
Yaani ukikutana nae njiani unaweza dhani Ni wale wamama wa samaki katoka ferry kuchukua samaki kumbe kabeba maiti.Huyo mtu Ni muuaji wa kukusudia kabisa... ANYONGWE.
 
Huyu muuaji anawakilisha roho za unyama mwingi kuliko kiumbe yoyote hapa Duniani waliyonayo wanawake wengi sana kwa watoto ambao sio uzao wa tumbo Lao.

Yani mwanamke kumpenda mtoto wa mwanamke mwenzake kwa kuishi nae na kumpa mapenzi sawa na mtoto wake wa kumzaa waga ni vigumu sana kwa akina mama wengi.
 
Huyu anastahili kifo na yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…