Dar: Anayedaiwa kumuua mwanafunzi wa UDSM akamatwa, akiri kufanya tukio hilo

Murder case siyo mchezo ni very serious hata kwenye nchi zenye weak judiciary system kama yetu. Hongereni Sana polisi kwa kazi nzuri. Ila mmenisikitisha kwa Nini mngesema tu alijaribu kutoroka tukamfumua kichwa kisogoni na risasi. Siyo wakucheleweshwa huyo atafungwa na kukata rufaana kurudi uraiani.
 
Ila pale kipande cha kutoka TCRA usawa wa hosteli za Magufuli kwann usiku hakuna taaa yan taa za barabarani zote haziwaki uzembe
 
kwahiyo kaiba simu na kuitelekeza hapo kichakani siku zote?
 
Eti aliachiwa kwa rufaa ya kosa la unyanganyi na anarudia tena kufanya unyanganyi
 
Msamehe bure wa mkoani huyo anaamshwa na miale ya jua la asubuhi.

Saa 10 usiku unakuta wanafunzi wa sekondari wapo vituoni anasubili daladala za kuunga awahi shule.
 
Afande Mulilo, ina maana mlimpeleka bila kumtia pingu? Eleza ukweli kwamba hamkutaka kusumbuana mahakamani maana anaweza kutoka kwa technicalities
Huyo wangemuua tu, Polisi Ni wabaya wakiuwa Raia wasio na hatia au wanasiasa, ila Haya majambazi nawa support, imagine maumivu aliyosababisha kwa familia ya huyo dogo !!!

Sema Haya majambazi yanaendaga kwa waganga,Kuna poti alimuua jambazi Miaka ya zamani katika majibizano ya Risasi, yule poti alianza Kama kuwa mwehu, ikabidi apelekwe kwa mganga ndio akapona
 
Chuo kilifungwa jana yake tar 15 Julai, mi nadhani dogo alidamka ili kuwahi mabasi ya mikoani
Yaani mida hiyo inabidi wawe wanatembea kimakundi. Kuna vibaka wengi sana maeneo hayo
Alifungwa miaka 30 akatumikia mwaka 1 akashinda kesi, sheria zetu hizi!!
 
Hii ni kutuonesha mambo yamebadilika baada ya teuzi? Nguvu za soda! Ni wale wale tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…