mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mwanangu nchi inazidi kuchangamkaAisee
Sasa hilo pira wakatalo pelekewq
Sasa 😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu nchi inazidi kuchangamkaAisee
Bar haikosi mambo km hayo sasa usiende na cheo chako au gwanda zako nenda ukiwa neutral kisha ishi km wanavyoishi wao sheria sheria zako za kikanda maalum ziache huko huko kazini kwakoMambo ya vijana hayo na kwaio kitambaa cheupe kuhamia mbagala yatashuhudiwa mengi sanaa
Wamesogezewa huduma Tena na zile tabia zao za kukodi daladala na vigodolo....ni Jambo la muda tu very true matukio yatakua mengi SanaaWamefunguliwa huko basi fujo mtindo mmoja
Ova
Pira gani wakati mtu kashakufa labda waamue kuwaonea km yeye alivyoenda mwenyewe wakamdhibitiMwanangu nchi inazidi kuchangamka
Sasa hilo pira wakatalo pelekewq
Sasa 😄
Ova
Wakati walisema kifo ni kifo tu 🤣🤣🤣🤣🤣Mwanangu nchi inazidi kuchangamka
Sasa hilo pira wakatalo pelekewq
Sasa 😄
Ova
Si umesoma hapo, wamekamatwa watu watano kwa uchunguzi zaidi,Hivi hii nayo watasema kifo ni kifo tu au kuna upelelezi wa kutosha utafanyika?
Mbagala nahs imefunguliwa hv karibuniKwa hiyo kuna vitambaa vyeupe viwili kimoja kipo sinza kingine kipo mbagala?
Ndiyo hapoWakati walisema kifo ni kifo tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa mujibu wa navyo fahamu ipo tabata,sinza na Sasa mbagala njia panda ya nzasa.Kwa hiyo kuna vitambaa vyeupe viwili kimoja kipo sinza kingine kipo mbagala?
Mission hiyoWauaji hawakuchukua chochote zaidi ya kumtoa roho
Mbagala sio sehemu salama sana kwenda kwenye ma bar usiku kuna sehemu niliwahi fika panaitwa kuzimu asee nyie mbagala pasikie tu kuna kila uchafu apo police wanafata rushwa kila week, kuna kila dhambi apo apafai kabisa nakumbuka alikuja shoga kunitaka kimapenzi nikamwambia kunywa bia nikalipa nikaondoka.Naona pamekua trending Sana hapo Jana nilipita hapo kukwepa foleni ya rang3
Kulikua na walinzi wengi Sana hilo eneo Jana nikasikia watu wanasema Kuna uzinduzi of course kwa Sasa mbagala kumedamshi Sanaa
Mbagala Kuna UHUNI mwingi Sana na hata ukienda hizo sehemu zao za starehe ukiwa na pesa nyingi kaa ki machale machale hawakaii kukumixier madawa ya kulevya ama ugolo wakakusachi ukaibiwa pesa zako
NB.
Hope kutakua na camera zitakua zilichukua footage kwaio upelelezi utapata pa kuanzia
Alazwe pema peponi kamanda.
Sio sehemu za kwenda kichwa kichwa Kuna umafia mwingi..Kuna watu walishaga kufa zamani wamebaki na viwili wili..Mbagala sio sehemu salama sana kwenda kwenye ma bar usiku kuna sehemu niliwahi fika panaitwa kuzimu asee nyie mbagala pasikie tu kuna kila uchafu apo police wanafata rushwa kila week, kuna kila dhambi apo apafai kabisa nakumbuka alikuja shoga kunitaka kimapenzi nikamwambia kunywa bia nikalipa nikaondoka.