IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Acheni drama jamani kifo ni kifo tu. Teh Teh Teh Teh Teh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wengi hukoBar sidhani hata mwezi imemaliza tayari ishakunywa damu ya mtu, sio mchezo
ElekeziHapo Kitambaa bei ni elekezi au wanatupiga kama Wavuvi?
Tabata tupewe maua yetu hakuna washamba.. hivi mtu unaendaje kula bata mbagala?Huko bado watu wana mambo ya kishamba sana kutoleana visu kukabana kabana
Sasa hyo polisi sijui kayakanyaga kwenye nini
Ova
Sasa watu wa huko si walikuwa wanakuja huko tbt,sinza,kino wanakodi macoaster sasa wamezogezewa huko 😄Tabata tupewe maua yetu hakuna washamba.. hivi mtu unaendaje kula bata mbagala?
Kwa mujibu wa bibi chaudele wa chambawima Kifo ni kifo kwisha habari yake
Sasa mmoja na wa cheo cha chini hivyo!TAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
Kule kwa mzee kibao Boni yai ndiyo anachelewesha uchunguzi, kagoma kabisa kutoa codes za simu zake, na inaonekana kuna kitu kimo mule kuhusu mchoro mzima wa mzee kibao ndiyo maana hataki kutoa!!Si umesoma hapo, wamekamatwa watu watano kwa uchunguzi zaidi,
Kule kwa Mzee Kibao kimya Hadi sasa, ngoja tuendelee kusubiri pengine waliomuuwa watapatikana Inshallah,
Kuna raia anaweza kugombea polisi wa kibongo, Tena kwenye kesi kubwa kama hiyo?Kule kwa mzee kibao Boni yai ndiyo anachelewesha uchunguzi, kagoma kabisa kutoa codes za simu zake, na inaonekana kuna kitu kimo mule kuhusu mchoro mzima wa mzee kibao ndiyo maana hataki kutoa!!
Tunataka code full stop!![emoji113] kama hakuna tunacho kitaka,tunaachana na wwe kwa usalama tu!!Kuna raia anaweza kugombea polisi wa kibongo, Tena kwenye kesi kubwa kama hiyo?
Mbona anashtakiwa kwa uchochezi, hayo ya Mzee Kibao umeyatoa wapi?
Je kama asipotoa hizo code, inamaana wauaji hawatapatikana?
Umekuwa msemaji wa Jeshi la Polisi?Tunataka code full stop!![emoji113] kama hakuna tunacho kitaka,tunaachana na wwe kwa usalama tu!!
Kifo ni kifo tu.TAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
Wapi nilipo jitambulisha kama msemaji wa jeshi la polisi!? Achaa kunilisha maneno, mimi nimesema tunataka code,haya wapi nimekwambia naongea kama msemaji wa jeshi la polisi!!??Umekuwa msemaji wa Jeshi la Polisi?
Nijibu, tuendelee na mjadala,