milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Unasema mmesoma wengi,wenye masters huko mko kwenye milango ya bank!Kwa hiyo sasa wote unataka tuwe ma boss!!?? Nani atamfungulia mwenzie mlango kama wote tukiwa.ma boss!!???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema mmesoma wengi,wenye masters huko mko kwenye milango ya bank!Kwa hiyo sasa wote unataka tuwe ma boss!!?? Nani atamfungulia mwenzie mlango kama wote tukiwa.ma boss!!???
Jeshi ni taasisi kubwa ya usalama, lazima ichanganye watu wote,hadi watu wa kitaani, na ndiyo maana unaona kuna police jamii!!Ila wa F za form four wapo. Na uwepo wao haufutwi na degree wala masters za wengine
Wapi nimesema!!??Unasema mmesoma wengi,wenye masters huko mko kwenye milango ya bank!
Bwana mdogo sana aise watafutwe waliyomfanyia unyama huoHuyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.
Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,
Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.
Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.
Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.
Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.
Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Hilo nalielewa. lakini nakuona unataka kujenga picha kwamba wenye hizo F ni polisi jamii pekee..!! Si kweli, kuna mchanganyiko wa maana tuJeshi ni taasisi kubwa ya usalama, lazima ichanganye watu wote,hadi watu wa kitaani, na ndiyo maana unaona kuna police jamii!!
sasa muhasibu akawe na sifuri kaka?Kama wameanza kuajiri Div 1, tunaelekea kuzuri.
huyu polisi handsome boy,,,inaelekea ni mambo ya mapenzi!!Tarehe 06.10.2024 saa 10:00 (usiku) maeneo ya bar inayojulikana Kitambaa Cheupe, njia panda Nzasa, askari namba J.3297 PC. Barnaba Andrea Mhonya (30 yrs) mkazi wa Chamazi na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania aliuwawa na mtu/watu wasiojulikana kwa kumjeruhi na silaha yenye ncha kali kati ya shingo na bega la kushoto.
Inaelezwa kuwa majira ya saa 10:00 (usiku) marehemu akiwa maeneo ya bar ya kitambaa cheupe alivamiwa na mtu/watu wasiojulikana ambao walimchoma na silaha yenye ncha kali kati ya shingo na bega la kushoto na kupelekea kifo chake. Kiini cha tukio kinachunguzwa.
Pia soma: Zanzibar: Askari wa JKU auawa, mkuu wa kituo cha polisi ashambuliwa
Mbinu ni kumvizia marehemu akiwa uchochoroni na kumchoma na silaha yenye ncha kali. Marehemu amekutwa na mali zake zote na ana jeraha moja lililotokana na silaha yenye ncha kali lililopo kati ya shingo na bega la kushoto.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya kilwa road kwa uchunguzi zaidi. Wafanyakazi wa bar watano wamekamatwa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi.
Source: Fortunatus Buyobe Twitter account
NB: Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF, isije hiki ndio kiwe maarufu, pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana, uharifu umepungua.
Matukio mengine yanayohusu watu wasiyojulikana soma: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
sasa muhasibu akawe na sifuri kaka?
Mbona unaukosa ule uhalisia wa JF IS THE HOME OF GREAT THINKERS?
Kauli ya muheshimiwa hiyo.🤔Kifo ni kifo tu.
Bar/club sehemu za starehe zozote unazozijua na ugomvi wa Malaya ni chai na maandazi chai na chapati yaan vinaenda hapa na hapa kwa hio kwa kadrio la chini kabisa naweza niseme ndio inaweza kua ni sababu ya yote, pole kwa marehemu mwendo ameumalizaUlikomferm kuwa chanzo ni Malaya?
Kumbe K'nyamala nako kuna kitambaa cheupe?Vipo vinne....na Mwananyamala karibu na ilipokuwa MK
Itakuwa wanajiua kama Mkuu wa mkoa alivyosema kuwa wananchi wanajitekaTarehe 06.10.2024 saa 10:00 (usiku) maeneo ya bar inayojulikana Kitambaa Cheupe, njia panda Nzasa, askari namba J.3297 PC. Barnaba Andrea Mhonya (30 yrs) mkazi wa Chamazi na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania aliuwawa na mtu/watu wasiojulikana kwa kumjeruhi na silaha yenye ncha kali kati ya shingo na bega la kushoto.
Inaelezwa kuwa majira ya saa 10:00 (usiku) marehemu akiwa maeneo ya bar ya kitambaa cheupe alivamiwa na mtu/watu wasiojulikana ambao walimchoma na silaha yenye ncha kali kati ya shingo na bega la kushoto na kupelekea kifo chake. Kiini cha tukio kinachunguzwa.
Pia soma: Zanzibar: Askari wa JKU auawa, mkuu wa kituo cha polisi ashambuliwa
Mbinu ni kumvizia marehemu akiwa uchochoroni na kumchoma na silaha yenye ncha kali. Marehemu amekutwa na mali zake zote na ana jeraha moja lililotokana na silaha yenye ncha kali lililopo kati ya shingo na bega la kushoto.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya kilwa road kwa uchunguzi zaidi. Wafanyakazi wa bar watano wamekamatwa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi.
Source: Fortunatus Buyobe Twitter account
NB: Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF, isije hiki ndio kiwe maarufu, pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana, uharifu umepungua.
Matukio mengine yanayohusu watu wasiyojulikana soma: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Anachanganya mafailiKumbe K'nyamala nako kuna kitambaa cheupe?
Kifo ni kifo tu mzee. Kila nafsi itaonja mauti.Hivi hii nayo watasema kifo ni kifo tu au kuna upelelezi wa kutosha utafanyika?
Nimeshangaa uzee umenianza lini kiasi kwamba nisijue kama kuna kitambaa cheupe keinyamalaAnachanganya mafaili
Teheeee nn kidoti , wazee walikuwa wanatoa sana simulizi za ubaya wa kutotembea usiku uku tukiwa tunachoma mahindi kwenye nyumba za msonge mwisho wanamaliza na huo msemo . Hivyo uwa tunautafakali sana tunawahi kuludi home mapemaJinga sana wewe