Dar: Askari polisi auawa baa ya Kitambaa Cheupe, njia panda ya Nzasa, usiku wa kuamkia 6.10.2024

Dar: Askari polisi auawa baa ya Kitambaa Cheupe, njia panda ya Nzasa, usiku wa kuamkia 6.10.2024

Rip alikuwa anaelekea kuwa na future nzuri Sana .
Yaan,
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.

Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.

NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.
 
Huyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.

Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,

Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.

Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.

Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.

Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.


Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Mimi sijawahi kuuwa hata sisimizi
 
Yaan,
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.

Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.

NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.

Sijajua - mkuu kazi yao imejaa kona kona nyingi.
 
Huyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.

Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,

Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.

Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.

Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.

Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.

Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Buyobe kama Buyobe
 
Huyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.

Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,

Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.

Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.

Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.

Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.

Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Alafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!
 
Yaan,
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.

Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.

NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.
Ila mi nazani chanzo cha mauwaji si ukabaji,ni ugomvi!!
 
Alafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!
Wasomi kulinda bank mlangoni na kufungua milango ya mabosi.
 
Alafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!
Ila wa F za form four wapo. Na uwepo wao haufutwi na degree wala masters za wengine
 
Back
Top Bottom