Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Yaan,Rip alikuwa anaelekea kuwa na future nzuri Sana .
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.
Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.
NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.