Dar: Askari polisi auawa baa ya Kitambaa Cheupe, njia panda ya Nzasa, usiku wa kuamkia 6.10.2024

Bwana mdogo sana aise watafutwe waliyomfanyia unyama huo
Ila kwa harakaharaka inaweza kuwa kisasi

Ova
 
huyu polisi handsome boy,,,inaelekea ni mambo ya mapenzi!!
 
sasa muhasibu akawe na sifuri kaka?
Mbona unaukosa ule uhalisia wa JF IS THE HOME OF GREAT THINKERS?

Kwani mhasibu ni nani ndugu?

Si tulisha kubaliana kuwa kama ilivyo katika viungo vya mwili, hata kwenye hizi taaluma hakuna iliyo na umuhimu zaidi mno katika jamii kuliko nyingine?

Au wewe ndiyo wale wahasibu wenye kujimwambafai na indispensability?

Angalizo:

Graves are full of indispensable people.
 
Ulikomferm kuwa chanzo ni Malaya?
Bar/club sehemu za starehe zozote unazozijua na ugomvi wa Malaya ni chai na maandazi chai na chapati yaan vinaenda hapa na hapa kwa hio kwa kadrio la chini kabisa naweza niseme ndio inaweza kua ni sababu ya yote, pole kwa marehemu mwendo ameumaliza
 
Itakuwa wanajiua kama Mkuu wa mkoa alivyosema kuwa wananchi wanajiteka
 
Jinga sana wewe
Teheeee nn kidoti , wazee walikuwa wanatoa sana simulizi za ubaya wa kutotembea usiku uku tukiwa tunachoma mahindi kwenye nyumba za msonge mwisho wanamaliza na huo msemo . Hivyo uwa tunautafakali sana tunawahi kuludi home mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…