Dar: Askari polisi auawa baa ya Kitambaa Cheupe, njia panda ya Nzasa, usiku wa kuamkia 6.10.2024

Hapo Kitambaa bei ni elekezi au wanatupiga kama Wavuvi?
Katika nchi maskin kama tanzania mtu yupo tayari akanywe safari lager moja kwa elfu 10 badala ya bei halisi ya 1,800 ili tu nae aonekane tajiri na apige picha na madem
 
Wasomi kulinda bank mlangoni na kufungua milango ya mabosi.
We na usomi wako unafanya nini ndugu.?? Acha kebehi zisizo na msingi.. kumfungulia boss mlango ni shida... au usomi kwako ni uboss.. ndiyo ninyi mnaofanya vijana washindwe kujiajiri au kuchagua kaz kisa amesoma..
 
Si umesoma hapo, wamekamatwa watu watano kwa uchunguzi zaidi,

Kule kwa Mzee Kibao kimya Hadi sasa, ngoja tuendelee kusubiri pengine waliomuuwa watapatikana Inshallah,
Kwa kibao ilikuwa barabarani ulishauri wawakamate nani pale?

😀
 
Mmmhh!

What are the motives behind?
 
Habari hii inaacha mashaka makubwa sana. It looks like a special mission.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…