Dar: Askari walioiba Tsh. Milioni 90 kwa kutumia Silaha wafutwa kazi, washtakiwa upya kama Raia huru

Pesa haitutoshelezi

[emoji1]

Ova
Polisi leo wanaambiwa wasimamie uporaji wa kura ili rais na mbunge wa CCM waonekane wameshinda, kesho tunadhani watafanya nini wakati wale walioingia kwenye madaraka wanaponda maisha kwa kusafiri na kina Steve Nyerere kwenda kula bata nje ya nchi na wao wanaambulia laki nne kwa mwezi? Kuna mambo mengine ukiyasikia wala huwezi kushangaa.
 
"Apostle kuna muujiza hukuuuuu"
 
Adhabu ya kwanza wafurwe kazi, adhabu ya pili wale mvua za kutosha isipungue miaka 20 jela pia viboko 12 wakari wakuswekwa jela na 12 wakari wa kutoka ili kukomesha kabisa mtindo huu [emoji23][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Hivi hiyo mln 90 wangegawana mob yote hiyo

Ova
Hao ni tamaa tu iliwaponza. Habari iliyopo ni kwamba awali walishachukua 90m kwa makubaliano yenye kunufaisha pande mbili yaani mtoaji na wapokeaji ili kuzima jambo. Mmoja wao katika hao waliochukua 90m akaona deal na kuwatafuta wenzie wapya ili waibuke upya kwa mtoaji. Mtoaji akalazimika kutoa zaidi 50m lakini pasipo kuridhika. Baada ya hapo mtoaji akapanda juu na "kupanga mipango".
 
Polisi wengi ni matapeli,wanyang'anyi

Akikuhisi tu una hela mfukoni anaweza kukudhuru akusingizie wewe ni jambazi akuue,kisha achukue hizo pesa

Hili jeshi lifumuliwe,liboreshwe

Wafungwe hao
Bado nakumbuka zombe aliyekuwa RCO dar na RPC Rukwa na wenzake walivyoua wafanyabiashara 3 na taxi driver na kuwapora fedha na madini, licha ya tume ya jaji kipenka kuthibitisha lakini wakaachiwa na mahakama kisa askari aliyekiri kutoroka na shahidi muhimu askari Bageni kufariki (inasemekana).
 
Wanyongwe mbwa hao
 
Duh mtoaji pesa zote hizo za nini au kuna biashara haramu ilikuwa inaendelea
 
Bageni alikufa!?
 
Askari Kanzu kama Askari Kanzu 🙌

Ni muda wa Serikali kuboresha maslahi ya Watumishi wao, maana kipato duni kinafanya hadi Walinzi wa Wananchi na Mali zao nao wameamua kuwa Majambazi ili kujiongezea Kipato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…