Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Muda mwingine manusura wa ajal huwa wanakufa wakipata matibab hospital
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mwingine manusura wa ajal huwa wanakufa wakipata matibab hospital
Alifanya la maana,maana hujui kama wamedhurika kiasi gani pia kisaukolojia!Dereva wa basi hilo alitaka kuwapeleka shule, ila wananchi waliofika kusaidia wakasema hawawezi kwenda hivyo shule kutokana na tukio hilo, kwanza wawapeleke hospitali…. sijui nini kilifuata
Basi pembeni ujengwe uzio.Boss, Mitaro kuwa mikubwa ni sahihi, mitaro mikubwa kuachwa wazi sio sahihi na ni hatari.
YaaBasi pembeni ujengwe uzio.
Mtaro mkubwa bila uzio ni balaa jingine.
Siyo TARURA na TANROADS?Kuna watu wasio kuwa na akili huko manispaa ndio wanaona mamitaro makubwa ni suluhu ya kupitisha maji taka bila kukwama.
Yaani ni ukosefu wa akili kiwango cha lami mzee.
Hawa madereva kuna tatizo. Kunduchi kidogo nimpe za chembe siku moja jamaa alafu ndani kabeba watoto ila uendeshaji wake sio kabisa. Serikali iliangalie hili swala upya. Zile za kukagua tu alafu ndio imeisha ni uongo. Wazazi pia mfatlie hizi gari mara moja kwa usalama wa watoto wako. Sio lazima ni muhimu tu kama unampenda mwanao, hawa madereva wengi sidhani kama wana vigezo zaidi ya janja janja tuAjali hii imetokea asubuhi hii, basi hilo likionekana kutumbukia kwenye mtaro likiwa na wanafunzi kama 10 hivi. Kwa kuwaangilia watoto hawaonekani kuwa wameumia sana, zaidi ya michubuko na hofu kwa kilichotokea. Basi jingine kubwa la shue hiyolilipita eneo hilo na kuwachukua watoto hao.
View attachment 2761369View attachment 2761370
View attachment 2761371
Habari zaidizitakujia kadri zitakavyopatikana.
Hivi hii staili ya mitaro ya wazi tuliiga wapi?