Dar: Basi la shule la St. Florence Academy (hiace) lapata ajali maeneo ya Interchick Mbezi Beach

Dar: Basi la shule la St. Florence Academy (hiace) lapata ajali maeneo ya Interchick Mbezi Beach

A
Dereva wa basi hilo alitaka kuwapeleka shule, ila wananchi waliofika kusaidia wakasema hawawezi kwenda hivyo shule kutokana na tukio hilo, kwanza wawapeleke hospitali…. sijui nini kilifuata
Alifanya la maana,maana hujui kama wamedhurika kiasi gani pia kisaukolojia!
 
Ajali hii imetokea asubuhi hii, basi hilo likionekana kutumbukia kwenye mtaro likiwa na wanafunzi kama 10 hivi. Kwa kuwaangilia watoto hawaonekani kuwa wameumia sana, zaidi ya michubuko na hofu kwa kilichotokea. Basi jingine kubwa la shue hiyolilipita eneo hilo na kuwachukua watoto hao.

View attachment 2761369View attachment 2761370
View attachment 2761371

Habari zaidizitakujia kadri zitakavyopatikana.
Hawa madereva kuna tatizo. Kunduchi kidogo nimpe za chembe siku moja jamaa alafu ndani kabeba watoto ila uendeshaji wake sio kabisa. Serikali iliangalie hili swala upya. Zile za kukagua tu alafu ndio imeisha ni uongo. Wazazi pia mfatlie hizi gari mara moja kwa usalama wa watoto wako. Sio lazima ni muhimu tu kama unampenda mwanao, hawa madereva wengi sidhani kama wana vigezo zaidi ya janja janja tu
 
Back
Top Bottom