CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Linaonekana kabisa ni limama muuza kwenye kilabu cha mataputapu.Hata halina mume inaonekana limeokotwa huko likapewa mike lijifanye mke wa mgombea ili limchafue tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linaonekana kabisa ni limama muuza kwenye kilabu cha mataputapu.Hata halina mume inaonekana limeokotwa huko likapewa mike lijifanye mke wa mgombea ili limchafue tu
Sema linafaa Kwa matumizi ya kula tunda kimasiharaLinaonekana kabisa ni limama muuza kwenye kilabu cha mataputapu.
Je, Uporaji huo ulikua ni wa haki kwa pande zote kushiriki?Acha UJINGA wewe, jana hakukuwa na uchaguzi bali uporaji.
Kwa kujipakulia minyama mko njema, kuruhusu uchaguzi huru na kampeni mnaomba msaada polisiPamoja na mapungufu ya chaguzi hizi ila kuna ukweli CCM wamejizatiti sana humu mitaani hili halina ubishi na wengi wanaona tu mbadala hakuna hata hao wapinzani ni CCM wanaotafuta fursa nje tu. Nimekuja kujuwa ukweli huu baada ya JPM kufariki na kushangaa fan base yake ilikuwa sio ya kitoto.
😀Huyo mwanamke hana adabu, kama ningekuwa mimi ndiye mume wake akishuka jukwaani hapo talaka angeikuta mlangoni, pisi zote hizi anidhalilishe hivyo.
Wapinzani hawaaminiki hawana watu mitaani wana watu mitandaoni tu lakini kwenye mizizi hakuna kitu CCM wako mpaka chumbani kwako.Kwa kujipakulia minyama mko njema, kuruhusu uchaguzi huru na kampeni mnaomba msaada polisi
Uchaguzi uliopita walisingizia Magufuli kuwa ndiye aliyeupora, Sasahivi sijui wanamsingizia yupi, Maana kipenzi chao Samia hayo mambo hawezi kufanya 🤣😂😂,4R naona inafanya kazi vizuri Mbowe yupo anachekea tumboni Maana Yeye na Samia ndio waasisi wa 4R,hizi ni rasharasha subirini 2025 ndio mtajua maana halisi ya 4R kamili.Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Jimbo la Segerea, ambapo kimevua ushindi katika mitaa yote 61 ya jimbo hilo.
Vilevile, CCM kimeibuka kidedea kwa kupata wajumbe 122 wa viti maalum (wanawake) na 183 wa viti mchanganyiko. Hivyo, kwa ujumla, CCM imeshinda na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Segerea.
View attachment 3164222
View attachment 3164219
Video hii ni wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Unachekesha sana komredi wa CCM, unachotumia jitahidi upunguze kama sio kuacha kabisa.Wapinzani hawaaminiki hawana watu mitaani wana watu mitandaoni tu lakini kwenye mizizi hakuna kitu CCM wako mpaka chumbani kwako.
Kwa kutolea kutu ila, hapo ni incubator ya UTI lazima Azuma zikuhusuSema linafaa Kwa matumizi ya kula tunda kimasihara
Unajitoa akili wewe.nani anasimamia uchaguzi??tume huru IPO??Pamoja na mapungufu ya chaguzi hizi ila kuna ukweli CCM wamejizatiti sana humu mitaani hili halina ubishi na wengi wanaona tu mbadala hakuna hata hao wapinzani ni CCM wanaotafuta fursa nje tu. Nimekuja kujuwa ukweli huu baada ya JPM kufariki na kushangaa fan base yake ilikuwa sio ya kitoto.
Kilainishi mhimu kaka au ndomu double.Kwa kutolea kutu ila, hapo ni incubator ya UTI lazima Azuma zikuhusu
CCM ni wajinga snHata halina mume inaonekana limeokotwa huko likapewa mike lijifanye mke wa mgombea ili limchafue tu
Hiyo imepikwa ni utapeli wa CCMHuyo mwanamke hana adabu, kama ningekuwa mimi ndiye mume wake akishuka jukwaani hapo talaka angeikuta mlangoni, pisi zote hizi anidhalilishe hivyo.
Ni ushenzi na utapeli wa TAMISEMI wala hakuna uchaguziUnajitoa akili wewe.nani anasimamia uchaguzi??tume huru IPO??
KabisaaNi ushenzi na utapeli wa TAMISEMI wala hakuna uchaguzi