much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kushindwa Kisha kujitangaza umeshinda SI ndo kujitekenya mwenyewe huko?How?, ushindi ushindi tu., kushindwa kushindwa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushindwa Kisha kujitangaza umeshinda SI ndo kujitekenya mwenyewe huko?How?, ushindi ushindi tu., kushindwa kushindwa tu.
Weka data hapa!Kushindwa Kisha kujitangaza umeshinda SI ndo kujitekenya mwenyewe huko?
Yale yale mijitu haitaki kujifunza mtasubiri sana na upumbavu wenu.Hata mumeo anaujua ukweli kuwa mmeiba mpk mkachoka + kuua watu
Jamii ya mtanznaia in a nutshellWamejitekenya wamecheka wenyewe
Technicaly speaking, ccm was not this aggresive nyakati za kura until magufuli, yeye ndio alifungua njia ya kutumika njia mbadala za kupata kura, ccm wakajifunza and wataendelea kuzitumia until wapinzani watakapo kuja na namna nyingineUchaguzi uliopita walisingizia Magufuli kuwa ndiye aliyeupora, Sasahivi sijui wanamsingizia yupi, Maana kipenzi chao Samia hayo mambo hawezi kufanya 🤣😂😂,4R naona inafanya kazi vizuri Mbowe yupo anachekea tumboni Maana Yeye na Samia ndio waasisi wa 4R,hizi ni rasharasha subirini 2025 ndio mtajua maana halisi ya 4R kamili.
Shida tunazozipata hata wewe na mumeo mnazipata sema nyie hamna akiliYale yale mijitu haitaki kujifunza mtasubiri sana na upumbavu wenu.
Kwanza kuonesha IQ yako ilivyo ndogo hujui hata mimi ni nani umeshahukumu mke lakini wala sio issue maana hamjui kuambiwa ukweli. Sasa kwenye shida ni wewe mimi sina shida yoyote mambo mazuri ndio kwanza napanga likizo ya Dec. Fanya kazi acha kulaumu shida zako kusingizia CCM. Piga kazi utasahau uanaharakati wa kijinga. Heshima ya mtu kazi/pesa sio magwanda.Shida tunazozipata hata wewe na mumeo mnazipata sema nyie hamna akili
We shetani una nini cha maana kupiga mizinga kwa wanaume na kupewa vipombe pombe unauza nchi yako kishetani, labda unaenda likizo ya chooniKwanza kuonesha IQ yako ilivyo ndogo hujui hata mimi ni nani umeshahukumu mke lakini wala sio issue maana hamjui kuambiwa ukweli. Sasa kwenye shida ni wewe mimi sina shida yoyote mambo mazuri ndio kwanza napanga likizo ya Dec. Fanya kazi acha kulaumu shida zako kusingizia CCM. Piga kazi utasahau uanaharakati wa kijinga. Heshima ya mtu kazi/pesa sio magwanda.
😀 Utalia sana maisha hayataki hasira tafuta pesa........We shetani una nini cha maana kupiga mizinga kwa wanaume na kupewa vipombe pombe unauza nchi yako kishetani, labda unaenda likizo ya chooni
Kwani sahivi pesa nakopa kwa mumeo? shetani mkubwa wewe😀 Utalia sana maisha hayataki hasira tafuta pesa........
Huna akili wewe ni takakata, akina Nyerere wangekuwa wapumbavu na wenye tamaa kama wewe nchi ingechelewa sn kupata uhuru.😀 Utalia sana maisha hayataki hasira tafuta pesa........
Na wewe unaamini uhuru ulitafutwa? Uhuru wakubwa wenyewe walipanga kurudisha makoloni British walishafilisika ni mipango ilipangwa na UN kutoa uhuru hakuna aliyepigania Uhuru wajinga tu wanaamini hivyo.Huna akili wewe ni takakata, akina Nyerere wangekuwa wapumbavu na wenye tamaa kama wewe nchi ingechelewa sn kupata uhuru.
Historia fake hizo eti mtemi fulani alipigana na Germany, kwa silaha gani? leo tunakila kitu na hatuwezi kusimama uso kwa uso na Wa Germany. Fake historyHuna akili wewe ni takakata, akina Nyerere wangekuwa wapumbavu na wenye tamaa kama wewe nchi ingechelewa sn kupata uhuru.
Lakini wangeweza kuchukua madini yetuNa wewe unaamini uhuru ulitafutwa? Uhuru wakubwa wenyewe walipanga kurudisha makoloni British walishafilisika ni mipango ilipangwa na UN kutoa uhuru hakuna aliyepigania Uhuru wajinga tu wanaamini hivyo.
Mkuu usidharauHistoria fake hizo eti mtemi fulani alipigana na Germany, kwa silaha gani? leo tunakila kitu na hatuwezi kusimama uso kwa uso na Wa Germany. Fake history
mkuu history ilintengenezwa kufaidisha kikundi fulani wakaanza kuifundisha shule kutujaza uwongo kikundi fulani kionakane mashujaa hata history yetu ya Tanzania haiongelewi ukweli wote hakuna hata mataifa yote yalitawaliwa kwa makubaliano ya wakubwa huko na waliyaachia hao hao muda muafaka. Ukitaka kujuwa hata ukisoma ya Tanzania wale waliokuwa na Nyerere wakati ule wa kukabidhiwa madaraka leo hii wameondolewa kwenye history sababu tu walitofautiana. Na sisi tukabeba ya wazungu sijui nani alivumbua lake victoria?? mzungu fulani, alivumbuwa kwani kulikuwa hakuna watu wanaishi pale? unavumbua kitu watu hawakijui, utasikia mzungu wa kwanza kufika lake Tanganyika sijui bla bla inatusaidia nini sisi. Fake historyMkuu usidharau
Uzuri ni kwamba mlishiriki kwenye uporaji, mkàshindwa.Acha UJINGA wewe, jana hakukuwa na uchaguzi bali uporaji.
Mchango wao lakini upomkuu history ilintengenezwa kufaidisha kikundi fulani wakaanza kuifundisha shule kutujaza uwongo kikundi fulani kionakane mashujaa hata history yetu ya Tanzania haiongelewi ukweli wote hakuna hata mataifa yote yalitawaliwa kwa makubaliano ya wakubwa huko na waliyaachia hao hao muda muafaka. Ukitaka kujuwa hata ukisoma ya Tanzania wale waliokuwa na Nyerere wakati ule wa kukabidhiwa madaraka leo hii wameondolewa kwenye history sababu tu walitofautiana. Na sisi tukabeba ya wazungu sijui nani alivumbua lake victoria?? mzungu fulani, alivumbuwa kwani kulikuwa hakuna watu wanaishi pale? unavumbua kitu watu hawakijui, utasikia mzungu wa kwanza kufika lake Tanganyika sijui bla bla inatusaidia nini sisi. Fake history