LGE2024 Dar: CCM yashinda Segerea mitaa yote 61, na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Dar: CCM yashinda Segerea mitaa yote 61, na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ninachojifunza uchaguzi huu ni kwamba bado upinzani haukubaliki na wananchi na huenda sababu ni malumbano ya viongozi pia vyama hivi kutoaminiana vyenyewe na kusababisha kutoaminiana na wapiga kura.
Upinzani unakubaliki asilimia 100% kwa wananchi ila sema serikali kupitia vyombo vyake vya usalama na mapapa waliomo nchini wamekuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi.
 
Iyenaaaa iyeeenaaa, iyenaaaa iyeeenaaa, iyeena iyeeeena, (kiitikio-Lissu na wenzake) CCM nambari wani.
 
Unachekesha sana komredi wa CCM, unachotumia jitahidi upunguze kama sio kuacha kabisa.
Yaani kama upinzani mitandaoni ungekuwa unaamua basi mngeshinda ila hamtaki kukubali uhalisia ndio shida yenu ndio mwaka baada ya mwaka mnazidi kupotea, tume hizi hizi lakini mlikuwa sio haba leo mvuto umepotea mkubali tu.
 
Yaani kama upinzani mitandaoni ungekuwa unaamua basi mngeshinda ila hamtaki kukubali uhalisia ndio shida yenu ndio mwaka baada ya mwaka mnazidi kupotea, tume hizi hizi lakini mlikuwa sio haba leo mvuto umepotea mkubali tu.
Shetani mkubwa, mbona hamtaki tume huru mnataka makada wa CCM wasimamie uchaguzi?
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Jimbo la Segerea, ambapo kimevua ushindi katika mitaa yote 61 ya jimbo hilo.

Vilevile, CCM kimeibuka kidedea kwa kupata wajumbe 122 wa viti maalum (wanawake) na 183 wa viti mchanganyiko. Hivyo, kwa ujumla, CCM imeshinda na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Segerea.
View attachment 3164222
View attachment 3164219
Video hii ni wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
CCM ni Chama Cha wapiga Nyeto, wakishajichua wanashangilia huku wakijiona na kujisifu kuwa ni watu wa mademu
 
MAMUZI SAHIHI YA WATANZANIA KWA KILICHO BORA MAISHANI MWAO

NAWAPONGEZA SANA WANA DAR ES SALAM
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Jimbo la Segerea, ambapo kimevua ushindi katika mitaa yote 61 ya jimbo hilo.

Vilevile, CCM kimeibuka kidedea kwa kupata wajumbe 122 wa viti maalum (wanawake) na 183 wa viti mchanganyiko. Hivyo, kwa ujumla, CCM imeshinda na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Segerea.
View attachment 3164222
View attachment 3164219
Video hii ni wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Hongera kwa wizi wa kula
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Jimbo la Segerea, ambapo kimevua ushindi katika mitaa yote 61 ya jimbo hilo.

Vilevile, CCM kimeibuka kidedea kwa kupata wajumbe 122 wa viti maalum (wanawake) na 183 wa viti mchanganyiko. Hivyo, kwa ujumla, CCM imeshinda na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Segerea.
View attachment 3164222
View attachment 3164219
Video hii ni wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kwani yule Asenga wa Chadema yupo eneo gani?!
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Jimbo la Segerea, ambapo kimevua ushindi katika mitaa yote 61 ya jimbo hilo.

Vilevile, CCM kimeibuka kidedea kwa kupata wajumbe 122 wa viti maalum (wanawake) na 183 wa viti mchanganyiko. Hivyo, kwa ujumla, CCM imeshinda na kupata jumla ya viongozi 366 wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Segerea.
View attachment 3164222
View attachment 3164219
Video hii ni wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Wameshinda kihalali?
 
Upinzani walishakataliwa.

Kupimo ni maandamano walianzisha hakuna aliyekwenda.
 
Shetani mkubwa, mbona hamtaki tume huru mnataka makada wa CCM wasimamie uchaguzi?
Tume huru labda ukawalete toka Burundi Tz kila mtu DNA ya CCM. Chadema hili ndio litawatesa sana kutokukubali ukweli kipindi pekee mlionekana tishio wakati wa Lowasa na kwa sababu ilikuwa CCM vs CCM ni wakati pekee mlikubali kuwa bila damu ya CCM hamtoboi, ila mlijaribu...
 
Tume huru labda ukawalete toka Burundi Tz kila mtu DNA ya CCM. Chadema hili ndio litawatesa sana kutokukubali ukweli kipindi pekee mlionekana tishio wakati wa Lowasa na kwa sababu ilikuwa CCM vs CCM ni wakati pekee mlikubali kuwa bila damu ya CCM hamtoboi, ila mlijaribu...
Ule ushetani mnafanya ni aibu kubwa kwenu
 
Ule ushetani mnafanya ni aibu kubwa kwenu
Hakuna aibu wala ushetani mna mawazo ya kizamani siasa za kizamani hamjiulizi tunakosea wapi? na mkiambiwa ukweli matusi na ku panic, badilikeni Lowasa aliwapa mwangaza kidogo mlitakiwa mchukue toka pale lakini mkarudi siasa za ukoloni. Wekeni sera nzuri za maendeleo ustaarabu utapendwa tu nyinyi mnatafuta kukamatwa ndio agenda yenu mnataka siasa za kuonewa huruma. Mjitafakari ukifanya siasa nzuri hata anayekuchukia siku atakuelewa tu. Sifa zenu matusi, mkamatwe, mahakamani hamna jipyaaa, watu hawataki hayo amkeni.
 
Hakuna aibu wala ushetani mna mawazo ya kizamani siasa za kizamani hamjiulizi tunakosea wapi? na mkiambiwa ukweli matusi na ku panic, badilikeni Lowasa aliwapa mwangaza kidogo mlitakiwa mchukue toka pale lakini mkarudi siasa za ukoloni. Wekeni sera nzuri za maendeleo ustaarabu utapendwa tu nyinyi mnatafuta kukamatwa ndio agenda yenu mnataka siasa za kuonewa huruma. Mjitafakari ukifanya siasa nzuri hata anayekuchukia siku atakuelewa tu. Sifa zenu matusi, mkamatwe, mahakamani hamna jipyaaa, watu hawataki hayo amkeni.
Hata mumeo anaujua ukweli kuwa mmeiba mpk mkachoka + kuua watu
 
Back
Top Bottom