Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
Umadhubuti wa scania unaufahamu?Bado sana.Yaani hiyo $ 217,000 napata YUTONG tatu mpya kali kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umadhubuti wa scania unaufahamu?Bado sana.Yaani hiyo $ 217,000 napata YUTONG tatu mpya kali kabisa
serikali ya ccm ndio imesababishabado aghali mno
Safi sana.....hapo kwenye bei sasa.......lakini unaweza kukuta nusu ya bei ni kodi za serikali,may be hata milioni 150 mpaka 200 unaweza kukuta ni kodi tuKazi mojawapo ya dar coach.
umesema dola ngapiiiiKampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.
Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.
Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body
Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
duhhiyo ni shilingi ngapi kwa shilingi za kitz?
hongera kwa kuwa na upeo mpanaSafi sana.....hapo kwenye bei sasa.......lakini unaweza kukuta nusu ya bei ni kodi za serikali,may be hata milioni 150 mpaka 200 unaweza kukuta ni kodi tu
Bei ni kubwa kuliko kununua nje kwa sababu vyuma Tanzania ni ghali sana kwa hiyo lazima iwe ghali sana,ukitaka uwe na viwanda lazima chuma kiwepo kwanza na umeme wa kutosha bila hivyo utakwama tu.Mfana cages za kufugia kuku kwa bongo wanatengeneza mafundi wa kawaida tu mitaani lakini bei yake ni ghali kuliko kuchukua kutoka China na tatizo ni bei za vyuma Kwa TzKampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.
Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.
Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body
Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
mimi nilijua jamaa wanasafirisha pekee kumbe wanasuka na body,vp kampuni gani nyingine wanapiga hizi mambo?Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.
Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.
Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body
Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
quality group chakito nk....mimi nilijua jamaa wanasafirisha pekee kumbe wanasuka na body,vp kampuni gani nyingine wanapiga hizi mambo?
wamesema watatengeneza mabus mazuriMbona bado haijapishana sana na Andare Mkuu?
SIDHANI UNAIJUA HIO BEI SAWA NA SH NGAPI YA MADAFU.. JE HAYO MABASI UNAJUA WANANUNUA SH NGAPIKampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.
Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.
Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body
Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
Manji nini?quality group chakito nk....
serikali ya ccm ndio imesababisha
Mkuu, jamaa yuko sawa, kuna bus aina ya scania irizah, lastime nilicheck bei yake like 3yrs ago ilikua inagusa 700mil na zaidi. Ukitaka bus zuri la bei rahisi, nunua kipisi Uingereza, toa cabin, refusha chasis then kanunue body ya marcopolo south africa valisha, hapo unaweza kutumia kama 250mil hivi.SIDHANI UNAIJUA HIO BEI SAWA NA SH NGAPI YA MADAFU.. JE HAYO MABASI UNAJUA WANANUNUA SH NGAPI
Sio utani Mkuu, ukitaka nenda kachonge la kawaida kwa 120milWaache utani na hyo bei duuh.
mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbushaFALCON MOMBASA.... ambaye unajiweka wazi kuwa ndiye DAR COACH huku ukipigiwa chapuo na SAAB 113-360
Labda nikupe ushauri wa bure..... ni heri kutengeneza USER NAME nyingine ambayo ni ya SIASA zaidi...
huwa unajichanganya kuonyesha ushabiki wa kivyama huku ni MFANYABIASHRA..... Katika wateja wako kuna baadhi ni watu wa vyama vingine...... ambao wanamiliki mabasi na wengine wanataka kumiliki.....
TRA hata siku Chadema itawale watumishi watabaki ni walewale..... serikali ni ile ile......
CHUKI ZAKO KWA SERIKALI...... CHUKI ZAKO KWA CHAMA...... ZITENGANISHE NA BIASHARA YAKO