Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.

Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.

Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.

Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body

Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
umesema dola ngapiiii
 
Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.

Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.

Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.

Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body

Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
Bei ni kubwa kuliko kununua nje kwa sababu vyuma Tanzania ni ghali sana kwa hiyo lazima iwe ghali sana,ukitaka uwe na viwanda lazima chuma kiwepo kwanza na umeme wa kutosha bila hivyo utakwama tu.Mfana cages za kufugia kuku kwa bongo wanatengeneza mafundi wa kawaida tu mitaani lakini bei yake ni ghali kuliko kuchukua kutoka China na tatizo ni bei za vyuma Kwa Tz
 
Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.

Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.

Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.

Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body

Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
mimi nilijua jamaa wanasafirisha pekee kumbe wanasuka na body,vp kampuni gani nyingine wanapiga hizi mambo?
 
Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.

Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.

Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.

Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body

Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
SIDHANI UNAIJUA HIO BEI SAWA NA SH NGAPI YA MADAFU.. JE HAYO MABASI UNAJUA WANANUNUA SH NGAPI
 
serikali ya ccm ndio imesababisha

FALCON MOMBASA.... ambaye unajiweka wazi kuwa ndiye DAR COACH huku ukipigiwa chapuo na SAAB 113-360
Labda nikupe ushauri wa bure..... ni heri kutengeneza USER NAME nyingine ambayo ni ya SIASA zaidi...

huwa unajichanganya kuonyesha ushabiki wa kivyama huku ni MFANYABIASHRA..... Katika wateja wako kuna baadhi ni watu wa vyama vingine...... ambao wanamiliki mabasi na wengine wanataka kumiliki.....

TRA hata siku Chadema itawale watumishi watabaki ni walewale..... serikali ni ile ile......

CHUKI ZAKO KWA SERIKALI...... CHUKI ZAKO KWA CHAMA...... ZITENGANISHE NA BIASHARA YAKO
 
SIDHANI UNAIJUA HIO BEI SAWA NA SH NGAPI YA MADAFU.. JE HAYO MABASI UNAJUA WANANUNUA SH NGAPI
Mkuu, jamaa yuko sawa, kuna bus aina ya scania irizah, lastime nilicheck bei yake like 3yrs ago ilikua inagusa 700mil na zaidi. Ukitaka bus zuri la bei rahisi, nunua kipisi Uingereza, toa cabin, refusha chasis then kanunue body ya marcopolo south africa valisha, hapo unaweza kutumia kama 250mil hivi.
 
FALCON MOMBASA.... ambaye unajiweka wazi kuwa ndiye DAR COACH huku ukipigiwa chapuo na SAAB 113-360
Labda nikupe ushauri wa bure..... ni heri kutengeneza USER NAME nyingine ambayo ni ya SIASA zaidi...

huwa unajichanganya kuonyesha ushabiki wa kivyama huku ni MFANYABIASHRA..... Katika wateja wako kuna baadhi ni watu wa vyama vingine...... ambao wanamiliki mabasi na wengine wanataka kumiliki.....

TRA hata siku Chadema itawale watumishi watabaki ni walewale..... serikali ni ile ile......

CHUKI ZAKO KWA SERIKALI...... CHUKI ZAKO KWA CHAMA...... ZITENGANISHE NA BIASHARA YAKO
mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
 
Back
Top Bottom