Ila Kuna watu wanajifanya wajua wakati hawajui kituHana ajuwalo huyo naamini hata bei ya taili moja haijui
Mkuu scania ni ghali na hiyo inatokana na umadhubuti wake na uhimili wake wa safari huwezi kuilinganisha na mabus ya kichinaMim sijaona tofauti hapo bado ikojuu
Mkuu scania ni ghali na hiyo inatokana na umadhubuti wake na uhimili wake wa safari huwezi kuilinganisha na mabus ya kichinaMim sijaona tofauti hapo bado ikojuu
Nikweli kabisaIla Kuna watu wanajifanya wajua wakati hawajui kitu
Nikweli kabisaIla Kuna watu wanajifanya wajua wakati hawajui kitu
Kijana WA mbowe kapige kelele jukwaa la siasaumesema dola ngapiiii
dar coach = dar express??quality group chakito nk....
mwambie magu aangalie upya kodi!!Nimeona hii kitu nikawa nafikiria bila kupata majibu yaani bus moja ni tshs.484milioni!? ASA utapata faida kweli!? Labda kama walikosea hizo figure
Hivi imewezekana vipi kwamba huu uzi hauna hata picha ya hilo bus la 217,000$?
View attachment 503534
Mkuu we unaquote nin? Mbona wafanyabiashara wanasiasa ni wengi tu..abood..mbowe...manji...n.k..acha jamaa aeleze anachokiamini na uwe mvumilivu kusikia..kwasasa soma mazur ya dar coachSerikali yapokea msaada wa kibajeti Sh. 490 bilioni kutoka Umoja wa Ulaya zitakazotolewa kwa miaka 4
ndio maana saanane alipohoji phd ya jamaa hadi leo hajaonekana
Kampuni ya mabasi FALCON
Kampuni ya DAR COACH
Kujitenga na SIASA au kutenganisha SIASA & BIASHARA ni jambo jema
zhongtong climber ni body ile mkuu, kama marcopolo, ungeuliza kwanza usijivue nguo kweupe namna hiiBus la kuungaunga,chassis scania body zhongtong[emoji23][emoji23]
Mazingira ya kiuchumi kaka ndo yanachangia kupenda cheapest..Tanzania wengi wanapenda vitu vya bei rahisi bila kuangalia ubora wa hivyo vitu ndo maana utakuta watu wengi wanamiliki michina wao twende tu. Mimi ni mmoja ya watu wanafikiria ubora wa kitu dhidi ya bei yake
Kuna kiwanda cha namna hiyo kinajengwa nchini kwetu?Bila kusahau na kiwanda cha kutengeneza viungo vya pilau
Ndiyo kipo pwani mkuu hukuona mbwembwe wakati wa kuzindua ujenzi wake?Kuna kiwanda cha namna hiyo kinajengwa nchini kwetu?
Ndiyo kipo pwani mkuu hukuona mbwembwe wakati wa kuzindua ujenzi wake?Kuna kiwanda cha namna hiyo kinajengwa nchini kwetu?
Marcopolo Andare class kama za abood kwa sasa ni milion 689 ikiwa na chasis murua ya scania F95HB310 4x2Mbona bado haijapishana sana na Andare Mkuu?