Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

OTE="falcon mombasa, post: 20939960, member: 277389"]mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha


Rais Magufuli awatakia heri ya Pasaka Watanzania wote
hatutaki

Angalia sasa chuki za wazi, ndo maana nikakushauri tafuta USERNAME nyingine uwe unajiachia...... HII SI NZURI SANA KWA BIASHARA[/QUOTE]
Tunatambua kazi yako bwana Mahesabu. Msamehe mshikaji wetu huyu, asije akaacha kuchangia katika Jamii Forum katika ishu izi magari
 
Punguza uwongo wewe nani kakwambia ?au unaongea neno bila kulijua?wacha kurukia rukia mambo ya kiweredi
Kumbe hata nyie bavicha huwa mnadanganyana wenyewe kwa wenyewe😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…