falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
- #221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepoteza muda wako kukomaa na ishu za kijinga, kila mtu yuko huru kukosoa pale serikali na watendaji wake wanapokosea...
Sasa upo sawa kuja na USERNAME tofauti.... hongeraUmepoteza muda wako kukomaa na ishu za kijinga, kila mtu yuko huru kukosoa pale serikali na watendaji wake wanapokosea...
Infwakti huyo unayekomaa nae hana cha kupoteza sababu kaileta habari kama dalali au kaamua tu kupigia chapuo.
povu linakutokaLEO LIPUMBA naye atakuwa CLOUDS.....
OTE="falcon mombasa, post: 20939960, member: 277389"]mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
itakuwa Lori sio basi.Mkuu, jamaa yuko sawa, kuna bus aina ya scania irizah, lastime nilicheck bei yake like 3yrs ago ilikua inagusa 700mil na zaidi. Ukitaka bus zuri la bei rahisi, nunua kipisi Uingereza, toa cabin, refusha chasis then kanunue body ya marcopolo south africa valisha, hapo unaweza kutumia kama 250mil hivi.
kuna gari uku tanga sjui mchina gani ule.unaitwa airbus inatoka tanga to mbeya.io gari ndani inapakia dumu5 za lita 20 full kupoza tu mashine .yaan ukiiona unaweza hisi ni gari mashine.ila daaahh vimeo bado kuripuka tuSasa huyo ni mchina Mkuu, within 3yrs engine inakufa, scania wakikupa mashine mpya jua hiyo utatumia mpaka uikinai.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jiandae na fine kwenye mizani kila siku, maana baada ya mseto huo wote linazaliwa lidude moja lizitooo... Ila imara sana!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jamaa ananituhumu kwa herufi kubwa kabisa ningekuwa machoni mwake angenichinja
Ilasi imerudi tena????
Kabisa mkuuu$217,000 * Tsh 2235 = Tsh 484,995,000
hiyo bei mwananchi wa kolomije hawezi nunua kama tu kilo ya unga tsh 2300 analia itakuwaje hiyo..
Kimya kingi kina mshindo......Shikamoo Ilasi co
Kwa hyo ni nzuri kwa kufoji uzito halisi wa basi au sijaelewa hapo mkuu........Pia kwenye mizani insaidia sana gari ya tairi sita haiwezi kuzidi ndo maana kina taqwa ,falcon wanazile Nissan diesel wamezipiga tairi sita na zina beba mizigo mikubwa sana mizani hazizidi.
Ndiyo ujiulize wale wanaotoa $108,500 kununua gari la kubeba watu nane tu huwa wanawaza nini...!? Bora hilo linabeba watu sitini.$217,000 × 2230= Tshs 483,910,000.
Muwe mna acha Ujinga.
Hilo ni Bas au Bombadier ya Magufuri?
ni kuangalia kama unafikia malengo yako basi biashara ya bus utaiwezaNdiyo ujiulize wale wanaotoa $108,500 kununua gari la kubeba watu nane tu huwa wanawaza nini...!? Bora hilo linabeba watu sitini.
Bado hajarudiIlasi imerudi tena????
Sasa zile Andare za Kilimanjaro ndio anazitengeneza hivyo, na bado mnapanda, huyo ndo Sawaya bwana.itakuwa Lori sio basi.