Dar: Dibron Saidi ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua Mkewe Herieth Justine kwa kisu, ni baada ya kumfumania

Dar: Dibron Saidi ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua Mkewe Herieth Justine kwa kisu, ni baada ya kumfumania

Au.... ukiua, ua kwa plan. Ukikaa na mwanasheria akakuandikia ''script'' ya kisheria ya jinsi ya kuua mgoni wako, unaweza usifungwe. Na hili la kulawiti... kama ukiamua basi fanya kwa mahesabu.
Ili isikamatwe mtendwa usilawiti, wadau hukodi watu wanafake fumanizi na muhusika analiwa kiboga bila uhusika wako. Na analiwa na wasiojulikana.

Tatizo hasira ndo huongoza pale mtu akisikia analiwa mali yake.

Wanawake huwa wanapanga vyema sana mipango yao sema ndo namna gani vipi mwishoni huja kuharibu wakinogewa na penzi la mchepuko. Ila wao kama wao ni planners wazuri sana wa mipango ya visasi bila kushtukiwa. Wakiendelea na mission wakapata mpango wa kando wanafauka na kuharibu kila kitu mpaka wanakamatwa na kutoa siri nzima.
 
Nakubaliana na wewe. Tena achaneni mapema sana. Unajua wanaoua hawapangi. Ni ufahamu unaondoka.
... Utasikia wanajazana upumbavu vijiweni; eti mke wa mtu sumu na jamii imeamini haki ya mgoni ni kuuwawa au kupigwa!

Watu wamekubaliana or more precisely amekubaliwa wewe nani umuuwe aliyekubali au kukubaliwa kwa utashi wake? Wabongo wengi maarifa sifuri.
 
Alivyokuwa anatembea na wake za watu hakujua anadhalilisha waume zao? Mtu unatembea na mke wa mtu unakuwa hujui mwisho wake ni nini?
Kwani alipost uchi wa mke wa jamaa??

Sasa hiyo kumrekodi ndio itamfanya mkeo aache kupigwa pipe nje??

Kama unataka kuiridhisha nafsi yako kwa kisasi panga kiakili basi sio kwa hasira na kukurupuka kama huyo mwehu hapo kideoni. Huo ni udhaifu mkubwa sana kwetu sisi wanaume. Umechapiwa unaacha kudeal na mkeo au kucheal utulize akili eti unakazana sijui kumlawiti mgoni hadharani, kumuua, kumdhalilisha kama hivo n.k. kitu ambacho mwisho wa siku wewe utaishia lupango
 
Ili isikamatwe mtendwa usilawiti, wadau hukodi watu wanafake fumanizi na muhusika analiwa kiboga bila uhusika wako. Na analiwa na wasiojulikana.

Tatizo hasira ndo huongoza pale mtu akisikia analiwa mali yake.

Wanawake huwa wanapanga vyema sana mipango yao sema ndo namna gani vipi mwishoni huja kuharibu wakinogewa na penzi la mchepuko. Ila wao kama wao ni planners wazuri sana wa mipango ya visasi bila kushtukiwa. Wakiendelea na mission wakapata mpango wa kando wanafauka na kuharibu kila kitu mpaka wanakamatwa na kutoa siri nzima.
Hii nilihadithiwa: Jamaa mmoja alipata habari kuwa mke wake anachepuka. Jamaa huwa anasafiri mara kwa kwa mara. Mbaya zaidi ni kuwa huyu mgoni wake huja kulala nyumbani kwake. Akaenda kuchukuwa marafiki zake wanaoishi mbali na pale alipo. Akajifanya anasafiri. Usiku wakavizia wakaona yule bwege anaenda kulala kwa jamaa kama kawaida. Kumbe alikuwa ame-set na house girl wake ikifika usiku mnene afungue makomeo yote ya mlango kwa ndani. Usiku kikosi cha ''unyama'' kikaingia kikiwa na funguo walizopewa na jamaa. Yeye hakwenda kabisa. Wakanyata mpaka ndani wakafungua mlango wa chumbani ghafla. Hamad, wakamweka yule bwege chini ya ulinzi. Wakamlawiti sana huku wanachukuwa video. Wakajifanya kuiba na baadhi ya vyombo wakaondoka navyo. Kwa kifupi wali-act kama vibaka.
 
Kwani alipost uchi wa mke wa jamaa??

Sasa hiyo kumrekodi ndio itamfanya mkeo aache kupigwa pipe nje??

Kama unataka kuiridhisha nafsi yako kwa kisasi panga kiakili basi sio kwa hasira na kukurupuka kama huyo mwehu hapo kideoni. Huo ni udhaifu mkubwa sana kwetu sisi wanaume. Umechapiwa unaacha kudeal na mkeo au kucheal utulize akili eti unakazana sijui kumlawiti mgoni hadharani, kumuua, kumdhalilisha kama hivo n.k. kitu ambacho mwisho wa siku wewe utaishia lupango
Nakubaliana na wewe. Jamaa hawakutumia akili na mbaya zaidi walijirekodi jinsi wanavyofanya. Pia nakubalina na wewe kuwa mkosaji namba moja ni mke. Ila nakukuhakikishia kama ni mimi, mke nita deal naye, baada ya mgoni kupata haki yake. Sasa wewe kama unadhani kuonyesha uchi wa mgoni ni udhalilishaji basi acha kutembea na wake za watu. Na usiposikia jua hakuna siri duniani. Kuna siku utashikwa. Na ukishikwa ''jicho'' lazima ligongwe na baadae mke atatimiliwa ili upate nafasi ya kumfaidi vizuri.
 
Ushauri wa vijana mhemuko....

Daily mnambiwa mahusiano ni busara....
Kukuru kakara jamaa maisha kwisha....
 
Ushauri wa vijana mhemuko....

Daily mnambiwa mahusiano ni busara....
Kukuru kakara jamaa maisha kwisha....
Kimsingi sheria ya ndoa imezingatia UHURU WA BINADAMU sana. Ilijiepusha kutomfanya mwanandoa hususan mwanamke kuwa mateka au mtumwa wa ndoa ukizingatia wanaume kijadi na kiimani wana options.
 
Kimsingi sheria ya ndoa imezingatia UHURU WA BINADAMU sana. Ilijiepusha kutomfanya mwanandoa hususan mwanamke kuwa mateka au mtumwa wa ndoa ukizingatia wanaume kijadi na kiimani wana options.

Kwenye ndoa kupoteza maisha kwa mihemko ni kitu rahisi sana...

Busara haina sheria.... dawa mtu mmeshindwana unaondoka tu mazima na wengine wengi tu wanarudiana na maisha yanaenda

Jamaa kamvizia wife kwenye chochoro kaua kasingizia alikuwa na mwananaume anafanya mapenz, jaji kajua jamaa katengeneza script... kamlima kitanzi...

He will regret it his whole life, big time.
 
Kwenye ndoa kupoteza maisha kwa mihemko ni kitu rahisi sana...

Busara haina sheria.... dawa mtu mmeshindwana unaondoka tu mazima na wengine wengi tu wanarudiana na maisha yanaenda

Jamaa kamvizia wife kwenye chochoro kaua kasingizia alikuwa na mwananaume anafanya mapenz, jaji kajua jamaa katengeneza script... kamlima kitanzi...

He will regret it his whole life, big time.
Common sense is not common to everybody Chief.
 
Hayawezi kukukuta kama ukikuta wamekubandulia afu ukajibeba na kila kilicho chako ukaenda kuanza maisha mapya
hichi ndicho nilichofanya mimi.sikutaka kupigana wala kuua nilifungasha vilivyo vyangu na kusepaa...mpaka leo ananisumbua turudianee nimeamua kukaa single mpaka Mungu atakaponijalia aliyesahihi.sitaka ada za wazazi wangu ziende bule bila kula matunda yao
 
hichi ndicho nilichofanya mimi.sikutaka kupigana wala kuua nilifungasha vilivyo vyangu na kusepaa...mpaka leo ananisumbua turudianee nimeamua kukaa single mpaka Mungu atakaponijalia aliyesahihi.sitaka ada za wazazi wangu ziende bule bila kula matunda yao
Nice decision mzee.
 
hichi ndicho nilichofanya mimi.sikutaka kupigana wala kuua nilifungasha vilivyo vyangu na kusepaa...mpaka leo ananisumbua turudianee nimeamua kukaa single mpaka Mungu atakaponijalia aliyesahihi.sitaka ada za wazazi wangu ziende bule bila kula matunda yao
Hongera! Mwanaume wa ukweli anapaswa kuwa hivyo! Sio kuua ultimately na wewe utanyongwa!
 
NEVER GET TOO ATTACHED TO ANYONE UNLESS THEY ALSO FEEL THE SAME TO YOU,BECAUSE ONE SIDED EXPECTATIONS CAN MENTALLY DESTROY YOU.
 
Back
Top Bottom