Dar: Dunstan Daudi Mutajura adaiwa kutekwa eneo la Buza

Wameanza tena 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Kipindi cha nyuma humu nilishawahi kusema,haya mambo ya utekaji yanayofanywa na watu wa mfumo...kuna watu nao wataanza kupita na upepo wake
Nao watatumia njia hizo hizo kuteka

Ova
 
Taka taka za wanaume wa Dar,pumbafu na nusu ,mtu ametekwa mbele yenu mnaona hata kufuatilia ilo gari mmeshndwa?
 
Wakamteke ridhiwani tuone kama watachelewa kukamatwa.
 
Dr Ulimboka alitekwa na Magufuli?! Mtalia na Magufuli hadi mwaka 2125.
Maswali sii kuwa nani alitekwa na nani ila kwanini utekaji ni zaidi wakati fululani na katika nyakati fulani na akiwepo fulani au fulani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…