Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kasema yeye ni tajiri😅Hahah mambo ya milioni 10.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema yeye ni tajiri😅Hahah mambo ya milioni 10.
Mna mambo huko daslam sisi wa mikoani mbona tumetulia tu na njaa zetu.Kasema yeye ni tajiri😅
Mbona huyo katoka hukohuko ndio kaingia jijini kwa fujo😅Mna mambo huko daslam sisi wa mikoani mbona tumetulia tu na njaa zetu.
Mambo ya financial stability milioni 10 hoyeee 🔥 🔥.Mbona huyo katoka hukohuko ndio kaingia jijini kwa fujo😅
Bado unazidi kuthibitisha hoja yangu, mkuu.Sio lazima kujenga ghorofa,kuna njia kibao tajiri anaweza invest hela zake...au haujui Dar kuna maghorofa mengi hayana wapangaji?utaona tu mabango yameandikwa"TO LET 0780 448 899"Huoni haya magorofa ni white elephant project?nenda kwenye magorofa ya serikali yapo ya magorofa kibao hawaishi watu huo ni ujanja au ujing.a?
Hata marekani ukiacha yake maghorofa ya ofisi kule mjini,makazi mengi ni nyumba za chiniHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inaonyesha kiwango cha juu cha umasikini na ustawi wa jiji la Dar es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
HihiiiiVijumba vina bati za kutu utadhani mtu kanika tofali za kuchoma.
Mkuu london unayoiona mara nyingi ni ile yenye historical iconic structures tu, ila london in skyscrapers za kufa mtuMkuu umasikini haupimwi kwa kujaza magorofa mjini, neenda London uone kama kuna skyscraper kama zilioko Cairo au Dubai