Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
- #101
Nimeonyesha ndani ya mita 500 hali ilivyoMbona ni eneo moja tu ambalo umepiga picha tena kwa juu? Hapo ni Sinza Palestina sasa ungeenda barabara kuwa ya shekilango ukapiga picha tuone nako . Ukinaliza nenda Kigamboni, Bunju, Makongo, Mbweni, Mbezi zote mbili, Mikocheni, Magomeni, nako tuone walau kukoje.