Dar es Salaam bado ni jiji la kimasikini saana! Ushahidi kwenye picha!

Dar es Salaam bado ni jiji la kimasikini saana! Ushahidi kwenye picha!

Inawezekana mtoa mada ndio una mawazo ya kimaskini utajiri wa Jiji au nchi haupimwi na skyscrapers tu!nenda mji mikubwa ya ulaya uone hakuna skyscrapers lakini ni matajiri mfano wa karibu London.
 
Tajiri mwenye akili lazima ajenge ghorofa mjini maana ni matumizi bora ya ardhi. Kwani uchumi wewe ulisomea nchi gani, mkuu?
kwahiyo masaki wanapokaa kina Mo kuna magorofa meng sana ? mkuu shule umesoma irambo nini? ile shule alooiimba jay mo kwenye "maisha ya boarding "
 
Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Si Dari slum Tu , TANZANIA nzima kwa kiasi kikubwa ni horrible slum
 
Metrics zako za Umasikini nadhani zimepotoka ingawa huenda kweli miji mingi duniani ni slums na haijapangika (Utajiri sio Sky Scrapper) huenda sehemu nyingi hazipo kutokana na sababu nyingi (culture, miundombinu na ustahimilivu wa kimazingira)..,

Ingawa mji wowote ulipangika na ulio sustainable inabidi kuzingatia pillars tatu (Environmental, Social na Economical) to put it bluntly kama mtu hawezi kutoka point A mpaka B kwa urahisi, hawezi kufika kwa urahisi kujipatia Ujira na Public Services ni za hati hati basi huo sio mji worth living iwe ni Timbuktu au New York... does not matter... And on that token Dsm does not tick the above requirements na wengine walifikia hadi kusema kwamba pananuka...
 
Yako je mkuu?
Screenshot_20241204-163711.jpg
Screenshot_20241204-163640.jpg
Screenshot_20241204-161248.jpg
Screenshot_20241204-161306.jpg
 
Back
Top Bottom