Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Unajua kuwe na utaribu kama kote duniani. Either serikali inajenga halafu inapangisha au kuwapa watu mortgage. Unajengewa halafu na kampuni unalipa taratibu miaka 10, 15, 20, 25.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
His head doesn't work properly on important stuffs, instead he use it for carrying MUCUSMore than that ...
Has shit of pc in his head
Karibu tule chapati na rosti nyama huku pepsi baridi ikishuhudia kinachoendelea.Pole Chawa,her Excellencey ana watu wengi sana hawezi kukuteua na D zako mbili.....bora leo umeongea ukweli nakusihi uendelee kuwa mzalendo kuliko kuwa CHAWA aside na manufaa.....Have a good day
Mucas and mixer of protozoa...😀😀😀😀His head doesn't work properly on important stuffs, instead he use it for carrying MUCUS
AiseeMucas and mixer of protozoa...😀😀😀😀
Mtu akishashiba unazani kuna kitu anawaza cha maana...Aisee
Ok, utahamia hapo mwezi ujao nalipia miezi 12 ya mwaka 2025Za mwenye ghorofa
🤣🤣🤣we kuna majini mle,,,hebu fikiria yale magorofa pale Victoria flow 20 wapangi 13 hizo apartments nyingine wanaishi nani?mi kwanza mtoto wa TMk napenda kuishi zangu uswazi nile ngwalaOk, utahamia hapo mwezi ujao nalipia miezi 12 ya mwaka 2025
Nimeona umekaribishwa chapati huko, umeenda?🤣🤣🤣we kuna majini mle,,,hebu fikiria yale magorofa pale Victoria flow 20 wapangi 13 hizo apartments nyingine wanaishi nani?mi kwanza mtoto wa TMk napenda kuishi zangu uswazi nile ngwala
Hilo ni suala mtambuka, kuwekeza ni kitu kimoja na kupata return y uwekezaji wako ni kitu kingine. Pale Victoria mpaka mazigira ya ostabei kupangisha labda kampuni sio makazi kwa kitu kama ghorofa.🤣🤣🤣we kuna majini mle,,,hebu fikiria yale magorofa pale Victoria flow 20 wapangi 13 hizo apartments nyingine wanaishi nani?mi kwanza mtoto wa TMk napenda kuishi zangu uswazi nile ngwala
Nadhani point yake sio comparison ya majengo bali mfumo wa kujenga skycrapers. Kwanza asilimia kubwa ya magorofa ya Daslam hayana wapangaji sasa kwa uchumi upi hayo ma skycrapers yawepo tz.Hivi nyie mnaakili timamu kweli yaani mnafananisha nyumba za chini za London na dar aisee kweli Kuna mijitu haijielewi yaani hizi takataka za dar ufananishe na London
Sa itakuwaje wale waliojenga kwa mkataba?je miaka ya ikiisha bado return haijapatikana,Hilo ni suala mtambuka, kuwekeza ni kitu kimoja na kupata return y uwekezaji wako ni kitu kingine. Pale Victoria mpaka mazigira ya ostabei kupangisha labda kampuni sio makazi kwa kitu kama ghorofa.
Although nadhani kwa sabab ni real estate return yake pale iko kwenye suistanability mana ni long term plan
PoaaMambo vp coca..
Long term accords hizo, mkataba wa miaka 100 mpaka miaka 200. Yani agreement over generations, kwa zanzibar ni serious sana hizi. Mahoteli mengi yanamilikiwa na wageni tena wengine wanapewa mpaka visiwa kabisa.Sa itakuwaje wale waliojenga kwa mkataba?je miaka ya ikiisha bado return haijapatikana,
ChiefGodlove.....ChristopherPaul15..... FootballPassport hiyo hapo nionyeshe yako halafu nitakuonyesha zaidi ya hiyo we jike dume
Sahihi kabisaTanzania ni kati ya nchi masikini kabisa duniani. Chochote unachokiona hapa nchini kuanzia majengo, miundombinu, magari nk ujue ni vitu vya kimaskini tu ndio maana hata hayo maghorofa yanajibomokea yenyewe.
Mind your businessChiefGodlove.....ChristopherPaul15..... Football
Unajitahidi kubadili ID kila mara ila uandishi wako na majigambo yako ni yaleyale tu,
Kila ikiguswa kidogo tu,unakimbilia kupost hicho ki screen shot! inaonekana hiyo screen short unaitunz akinoma.
😀😀😀😀