Dar es Salaam bado ni jiji la kimasikini saana! Ushahidi kwenye picha!

Dar es Salaam bado ni jiji la kimasikini saana! Ushahidi kwenye picha!

Kabla hatujaamia kwenye Umaskini wa vitu na Pesa angalia Umaskini wa fikra unavyojionesha kwenye replies za wachangiaji. Ukiwa smart kichwani hauchulii kila jibu kama challenge kwako, mtu akikujibu vibaya usipende kuchukulia vitu personal. Inawezekana anayejibu anapitia mambo mazito na amekosa namna ya kutua hasira, msongo na shida zake, mwisho wa siku ameamua kuziacha hapa
EXACTLY
 
Kelele za nini nimeshakuonyeas passport onyesha Yako hata 1 milion tu ya madafu🤣🤣🤣🤣🤣
Unajichekesha nini ?kweli Yas hajawahi waacha salama......Mimi sijakuuliza habari ya hela na sio lengo la uzi,kuna uzi wa kutishiana hizo account kuna wenzio walituma humu hadi 900 sasa wewe mwenye kumi nenda kasumbuane na wenzako kule mimi sina hela ila am sure naishi maisha mazuri kukupita ndio utajua hujui.....we kazana kudunduliza vibubu vya madafu wanaume wenzio wana account za Dollar......Leta passport tujue kama kweli unapajua London
 
Unajikesha nini ?kweli Yas hajawahi waacha salama......Mimi sijakuuliza habari ya hela na sio lengo la uzi,kuna uzi wa kutishiana hizo account kuna wenzio walituma humu hadi 900 sasa wewe mwenye kumi nenda kasumbuane na wenzako kule mimi sina hela ila am sure naishi maisha mazuri kukupita ndio utajua hujui.....we kazana kudunduliza vibubu vya madafu wanaume wenzio wana account za Dollar......Let passport tujue kama kweli unapajua London
Kumbe masikini huna haki ya kunihoji maswala ya passport kahoji mafukara wenzio🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
1000000146.jpg
 
Sasa kama namjibu Covax Wewe umerukiaje?we jibu hoja zangu sio mimi naongea na Covax wewe unanirukia kunipanikia huoni kama hizo ni hasira baada ya kukaa Namanyere miaka yote ukiamini Dar utakuta maghorofa kama unayoyaona kwenye movie za Newyork matokeo yake hujayakuta?kwanza unavyojifanya unaiongekea London utasema unaijua ukute hata passport huna.....na ukitaka niamini upuuzi wako nionyeshe passport yako hapa
Huyo Covax si ungemjibia PM kama hutaki watu wakujibu? Una hoja za kitoto mno.
 
Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Nchi bado ni maskini. Polepole mambo yatabadilika. Huko Arusha mtaa wa Kaloleni ambao umepakana na CBD bado kuna nyumba za udongo.
 
Back
Top Bottom