MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Usirudie ku-comment ushuzi tena. Kama mada hujaelewa soma kwanza comments za watu wengine.Niondolee uchawa wako usiokusaidia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usirudie ku-comment ushuzi tena. Kama mada hujaelewa soma kwanza comments za watu wengine.Niondolee uchawa wako usiokusaidia..
Umbea tu....wewe si ndio kila siku unaleta mambo ya kichawa humu kusifia CCM inaleta maendeleo?njaa zitakuuaNchi bado ni maskini. Polepole mambo yatabadilika. Huko Arusha mtaa wa Kaloleni ambao umepakana na CBD bado kuna nyumba za udongo.
Acha kunililia hapa. Mimi sio babako.Umbea tu....wewe si ndio kila siku unaleta mambo ya kichawa huyu kusifia CCM inaleta maendeleo?njaa zitakuua
Nasisitiza niondolee UCHAWA usiokusaidiaUsirudie ku-comment ushuzi tena. Kama mada hujaelewa soma kwanza comments za watu wengine.
Nani awe na baba CHAWA?kizazi chako kimekula hasara kama umefanikiwa kuw nacho elewa neno KAMAAcha kunililia hapa. Mimi sio babako.
Kwani nimesema ni masikini? Ila nacho jua income per capita yao iko chini ya London.Sa
sasa Cairo na Dubai ni masikini?
Sikukutuma u-comment upumbavu. Jilaumu mwenyewe.Nani awe na baba CHAWA?kizazi chako kimekula hasara kama umefanikiwa kuw nacho elewa neno KAMA
Kwendaaa....kuna watu wakunishauri sio wewe na uchawa wako usio na faida wala manufaa bora ukamfanyie Mondi uchawa kuliko uchawa wako matokeo leo umekuwa kwenye ukweli hakuna hayo Maendeleo unayoyahubiri humu kila siku...Shame on youSikukutuma u-comment upumbavu. Jilaumu mwenyewe.
You will be fine... you will be fine....Kwendaaa....kuna watu wakunishauri sio wewe na uchawa wako usio na faida wala manufaa bora ukamfanyie Mondi uchawa kuliko uchawa wako matokeo leo umekuwa kwenye ukweli hakuna hayo Maendeleo unayoyahubiri humu kila siku...Shame on you
Huyu mtu kulingana na majibu yake kwenye hoja tayari inatoa tafsiri ya Hali aliyo nayo. I'm donePita nayo kimya kimya inasaidia, usiwape watu nafasi ya kuku-doubt.
Vyawa on the one and twoKwendaaa....kuna watu wakunishauri sio wewe na uchawa wako usio na faida wala manufaa bora ukamfanyie Mondi uchawa kuliko uchawa wako matokeo leo umekuwa kwenye ukweli hakuna hayo Maendeleo unayoyahubiri humu kila siku...Shame on you
Pole Chawa,her Excellencey ana watu wengi sana hawezi kukuteua na D zako mbili.....bora leo umeongea ukweli nakusihi uendelee kuwa mzalendo kuliko kuwa CHAWA aside na manufaa.....Have a good dayYou will be fine... you will be fine....
ThamaniHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Thamani ya ardhi ndio uchumi mmojawapo wa mji.Hiyo ardhi (kiwanja)cha eneo uliopigq picha,kiko bei ganiHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Thamani ya kiwanja,ndio thamani ya eneo.Kiwanja yapo cha 25 ×3Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Thamani ya kiwanja hapo Dar,25×30,ni Bilioni kadhaa,halafu wasema hakuna uchumi.Angalia thamani ya kiwanja kwanza.Wakati kiwanja hicho hicho,25 kwa 30,ni milioniHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Thamani ya kiwanja 25 kwa 30,ni bilioni kadhaa,wakayi mikoani ni milioni mbili mpaka 7.Huko uchumi uko juuHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
So do you mean that man has a Poor Brain ?Mavi tu
More than that ...So do you mean that man has a Poor Brain ?
Hizi namba hapo za nani?Sio lazima kujenga ghorofa,kuna njia kibao tajiri anaweza invest hela zake...au haujui Dar kuna maghorofa mengi hayana wapangaji?utaona tu mabango yameandikwa"TO LET 0780 448 899"Huoni haya magorofa ni white elephant project?nenda kwenye magorofa ya serikali yapo ya magorofa kibao hawaishi watu huo ni ujanja au ujing.a?
Za mwenye ghorofaHizi namba hapo za nani?