Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kunionyesha nilipoandika London na Dar ni sawa?rejea maandiko yangu,halafu jitulize udiscuss mada inayodai tajiri lazima ajenge ghorofaJazba Gani we Kwa akili Yako timamu London na dar ni sawa au umechanganyikiwa
Mbona kama umepata moto mkuu?Hivi nyie mnaakili timamu kweli yaani mnafananisha nyumba za chini za London na dar aisee kweli Kuna mijitu haijielewi yaani hizi takataka za dar ufananishe na London
Kumbe hujielewi hata unajibu nini huyo covax ulichomsapoti kwenye comment yake si kuhusu kunipinga Mimi kwamba London inamajumba mabovu kama ya darUnaweza kunionyesha nilipoandika London na Dar ni sawa?rejea maandiko yangu,halafu jitulize udiscuss mada inayodai tajiri lazima ajenge ghorofa
Sasa kama namjibu Covax Wewe umerukiaje?we jibu hoja zangu sio mimi naongea na Covax wewe unanirukia kunipanikia huoni kama hizo ni hasira baada ya kukaa Namanyere miaka yote ukiamini Dar utakuta maghorofa kama unayoyaona kwenye movie za Newyork matokeo yake hujayakuta?kwanza unavyojifanya unaiongekea London utasema unaijua ukute hata passport huna.....na ukitaka niamini upuuzi wako nionyeshe passport yako hapaKumbe hujielewi hata unajibu nini huyo covax ulichomsapoti kwenye comment yake si kuhusu kunipinga Mimi kwamba London inamajumba mabovu kama ya dar
Mbona kama umechanganyikiwa na ugumu wa maisha unaandika gazeti Ambalo halieleweki mshamba wewe unataja vijiji vya kwenu unafikiri wote tunaishi hukoSasa kama namjibu Covax Wewe umerukiaje?we jibu hoja zangu sio mimi naongea na Covax wewe unanirukia kunipanikia huoni kama hizo ni hasira baada ya kukaa Namanyere miaka yote ukiamini Dar utakuta maghorofa kama unayoyaona kwenye movie za Newyork matokeo yake hujayakuta?kwanza unavyojifanya unaiongekea London utasema unaijua ukute hata passport huna.....na ukitaka niamini upuuzi wako nionyeshe passport yako hapa
Hujatembea. Unazungumzia vitu vidogo sana.Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
London mji umepangaliwa uko katika utaratibu unaoeleweka.Kama hunaga ushahidi bora unyamaze hata downtown London ina nyumba za zamani mbovu condenmed hata kuliko za Dar, unajua nyie Waswahili maneno mengi exposure ndogo.
Umeelewa vizuri,usijizime data.....Let ushahidi wa passport hapa tujue kama kweli unaijua London,,,,maana unajifanya unaijua London kumbe nika ulivyokuwa Namanyere ulivyokuwa unaijua Dar,na sasa uko Dar unajifanya unaijua LondonMbona kama umechanganyikiwa na ugumu wa maisha unaandika gazeti Ambalo halieleweki
Passport hiyo hapo nionyeshe yako halafu nitakuonyesha zaidi ya hiyo we jike dumeUmeelewa vizuri,usijizime data.....Let ushahidi wa passport hapa tujue kama kweli unaijua London,,,,maana unajifanya unaijua London kumbe nika ulivyokuwa Namanyere ulivyokuwa unaijua Dar,na sasa uko Dar unajifanya unaijua London
point muhimu sana hiiUnapouangalia Umaskini hautakiwi kuchukua eneo moja tu, uhalisia mchungu ni kwamba nchi nzima ya Tanzania ni Maskini kabisa. Ukitoa vitu vichache vinavyotufanya tuusahau umaskini kwa kipindi (Mitandao, Rushwa, Ngono, Mpira, Mziki n.k) sisi bado ni maskini kabisa!
Huna akili....unalizwa passport unaonyesha madafu?tena ukute umecopy madafu ya jirani yako....London hupajui so acha kuongea vitu ulivyyona kwenye movie.....we pambana Mix by Yas mambo ya kumix tuPassport hiyo hapo nionyeshe yako halafu nitakuonyesha zaidi ya hiyo we jike dume
Kelele za nini nimeshakuonyeas passport onyesha Yako hata 1 milion tu ya madafu au unafikiri passport sio hela we jike dume🤣🤣🤣🤣🤣Huna akili....unalizwa passport unaonyesha madafu?tena ukute umecopy madafu ya jirani yako....London hupajui so acha kuongea vitu ulivyyona kwenye movie.....we pambana Mix by Yas mambo ya kumix tu
Akute maghorofa? KWani alituma hela ili yajengwe?Sasa kama namjibu Covax Wewe umerukiaje?we jibu hoja zangu sio mimi naongea na Covax wewe unanirukia kunipanikia huoni kama hizo ni hasira baada ya kukaa Namanyere miaka yote ukiamini Dar utakuta maghorofa kama unayoyaona kwenye movie za Newyork matokeo yake hujayakuta?kwanza unavyojifanya unaiongekea London utasema unaijua ukute hata passport huna.....na ukitaka niamini upuuzi wako nionyeshe passport yako hapa
This could have come from anywhere, hii ni aina za dalili za Low Self Esteem.Kelele za nini nimeshakuonyeas passport onyesha Yako hata 1 milion tu ya madafu au unafikiri passport sio hela🤣🤣🤣🤣🤣