Dar es Salaam: Gharama za kujifungua ni Tshs 75,000. Uchaguzi huu unakupa nafasi ya kukataa uharamia huu

Dar es Salaam: Gharama za kujifungua ni Tshs 75,000. Uchaguzi huu unakupa nafasi ya kukataa uharamia huu

Mimi nitaamini hii post yako bila kuweka risiti ulizotozwa?
Mkuu kuweka risiti hapa jamvini ni sawa na kujianika mie kupitia utambulisho wangu maana kwenye risiti kuna majina ya aliyejifungua na mimi mlipaji.

Kama huamini tembelea hospital ya Amana,Temeke ama Mwananyamala utakuja na uthibitisho humu.
 
Mkuu kuweka risiti hapa jamvini ni sawa na kujianika mie kupitia utambulisho wangu maana kwenye risiti kuna majina ya aliyejifungua na mimi mlipaji.

Kama huamini tembelea hospital ya Amana,Temeke ama Mwananyamala utakuja na uthibitisho humu.
Achana na huyo mamluki
 
Mkuu kuweka risiti hapa jamvini ni sawa na kujianika mie kupitia utambulisho wangu maana kwenye risiti kuna majina ya aliyejifungua na mimi mlipaji.

Kama huamini tembelea hospital ya Amana,Temeke ama Mwananyamala utakuja na uthibitisho humu.
Kwa hiyo Temeke,Amana na Mwanayamala ndio Tanzania?
 
Huu ni uongo kabisa. Mwanafamila wangu amejifungulia kaloleni hospitali. Hatukulipa hata senti moja. Ilkua mwezi wa sita, na huduma ilikuwa Safi Sana, usafi wodini, huduma ya mama na mtoto imeimarishwa Sana Tanzania. Hakuna hizo garama kwenye hospitali ya serkali

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Kasema Temeke refaro
 
Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .

Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.

Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Huu ni Upotoshaji na uongo wa hali ya juu, lete hapa hizo picha za risiti ulizolipia tuzione. Kama kweli umelipishwa.
Watanzania wana imani na CCM, na wataichagua CCM na watamchagua Magufuli.
 
Mie mke wangu kajifungua kimara hospital kwa operation. Vifaa tiba na dawa nilizonunua zinafika kama 170,000/=. Wakati anaruhusiwa nikaambiwa sina bill yoyote. Ingawa tayari alikuwa na begi la kujifungulia ambalo linagharim kama 20,000/=
Nadhani hizo gharama zinategemea na eneo au hadhi ya hospital.
 
Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .

Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.

Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Huu ni Upotoshaji na uongo wa hali ya juu, lete hapa hizo picha za risiti ulizolipia tuzione. Kama kweli umelipishwa.
Watanzania wana imani na CCM, na wataichagua CCM na watamchagua Magufuli.
 
Mie mke wangu kajifungua kimara hospital kwa operation. Vifaa tiba na dawa nilizonunua zinafika kama 170,000/=. Wakati anaruhusiwa nikaambiwa sina bill yoyote. Ingawa tayari alikuwa na begi la kujifungulia ambalo linagharim kama 20,000/=
Nadhani hizo gharama zinategemea na eneo au hadhi ya hospital.
Leta risiti hapa tuzione hizo gharama unazosema
 
Mkuu kuweka risiti hapa jamvini ni sawa na kujianika mie kupitia utambulisho wangu maana kwenye risiti kuna majina ya aliyejifungua na mimi mlipaji.

Kama huamini tembelea hospital ya Amana,Temeke ama Mwananyamala utakuja na uthibitisho humu.
Ficha jina tuone hicho kiasi hapa kwente hiyo risiti
 
Huu ni Upotoshaji na uongo wa hali ya juu, lete hapa hizo picha za risiti ulizolipia tuzione. Kama kweli umelipishwa.
Watanzania wana imani na CCM, na wataichagua CCM na watamchagua Magufuli.
Huna hoja au utakuwa mgumba
 
Kwa hiyo Temeke,Amana na Mwanayamala ndio Tanzania?
Pia nimekutolea tu mfano wa baadhi ya hospital ambazo zinatoza fedha kwa wanaokwenda kujifungua.

Nadhani zitakuwa zaidi ya hizo maana madaktari wa pale walisema ni utaratibu ndo ulivyo.
 
Mie mke wangu kajifungua kimara hospital kwa operation. Vifaa tiba na dawa nilizonunua zinafika kama 170,000/=. Wakati anaruhusiwa nikaambiwa sina bill yoyote. Ingawa tayari alikuwa na begi la kujifungulia ambalo linagharim kama 20,000/=
Nadhani hizo gharama zinategemea na eneo au hadhi ya hospital.
Yes hutegemea na hadhi ya hospital.Mfano akijifungulia kwenye zahanati kwa njia ya kawaida ni bure ila kuanzia vituo vya afya kuna gharama fulani.
 
Hili swala linaweza likawa linaukweli kuna jamaa nimekutana naye leo asubuh ananiambia aniwekee fridge Rehan nimpe laki mke wake yupo Amna anatarajia kujifungua,
Nikajua ni matumizi ya kawaida tu kumbe wanalipizwa,
Sisi wa bima tutakuwa hatulitambui Hilo.
 
Ficha jina tuone hicho kiasi hapa kwente hiyo risiti
Mkuu acha uvivu wa kufanya utafiti unaweza kwenda kwenye hospital nilizokutajia kama upo Dar.
Ama tafuta mawasiliano ya uongozi wa hospital hasa kuanzia referral hospital then ulizia utapata jibu.

Kuna haja gani ya mimi kudanganya?
Sipo karibu tu sehemu risiti zilipo ningeweka humu sijui ungesemaje mkuu.
 
Back
Top Bottom