Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kutaka kupata ukweli ni kosa?Hahahaha niambie Ccm mwenye avatar ya Chadema. Naona spana nzito hadi umeamua ku blow your cover mazima 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutaka kupata ukweli ni kosa?Hahahaha niambie Ccm mwenye avatar ya Chadema. Naona spana nzito hadi umeamua ku blow your cover mazima 😂😂
Kama umeona ghali si uende kwa bibi uzalie nyumbani? Ulitaka nani akulipie kwenye starehe zako? Hakuna cha bure hapa ulimwenguni, wewe kila siku umo humu ulitaka nani akulipie hizo MB? Wacha kelele!Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .
Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.
Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Vya bure viliisha enzi ya Mwalimu JK Nyerere kwa sababu ya ujinga wa wengi, wao kila kitu wanataka bure wakati kodi hawataki kulipa. Hata nchi kubwa zilizoendelea kama UK huwezi kutibiwa kama wewe huna uraia wa hiyo nchi na wewe sio mlipa kodi/raia wa nchi hiyo. USA wameshindwa itakuwa Tanzania? Hatutaki watalii wagonjwa kufilisi manufaa ya walipa kodi wa Tanzania.Mkuu upo sahihi kabisa mke wangu alienda kujifungulia Amana hosptal kwa njia ya operation nilishangaa kuambiwa natakiwa kulipia 200,000 kama gharama ya kujifungua na 49,000 ya dawa.
Nilielekezwa dirisha la kulipia na nililipia kihalali kabisa na risiti nikapewa.
Ni wamama wote walifuata utaratibu huu na nilishuhudia mama mmoja akizuiwa kuondoka wodini baada ya ndugu zake kushindwa kulipa gharama hii.
Huu ni uongo kabisa. Mwanafamila wangu amejifungulia kaloleni hospitali. Hatukulipa hata senti moja. Ilkua mwezi wa sita, na huduma ilikuwa Safi Sana, usafi wodini, huduma ya mama na mtoto imeimarishwa Sana Tanzania. Hakuna hizo garama kwenye hospitali ya serkali
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu post zako sijaziona muda mrefu sana, karibu sana, happy to see you around.MKuu unalipa Kodi kweli wewe?
unajua kuw akuna mpaka ufadhili kw aajkili ya mama na mtoto, kutibiwa bure na kujifungua bure?
unajua kuna grants na loans jina la mama na mtoto?
Sasa ni Kenya hiyo?Kwa hiyo Temeke,Amana na Mwanayamala ndio Tanzania?
Kwamba kuna sehemu za private kwenye hospital za uma?Kadema bwana! kujifungua ni jambo la furaha...yaani miezi 9 yote najiandaa kupata mtoto nashindwaje kuweka hela kidogo kidogo hadi nifikishe hizo pesa? Ila pia hiyo ni gharama kwa wale wanaotaka kujifungua kwa huduma za "private" ...ndio kuna sehemu private kwenye hospitali za umma kwa wasiopenda bugudha!
Bro unabishana na wanafunzi? Watakutoa kibiomgo bure hao hata bando wanaomba kwa mama zao watajua wapi gharama za hospital.Kwamba kuna sehemu za private kwenye hospital za uma?
Unaelewa unachoongea kweli? Umeambiwa mpk jina la hospital bado unakaza mishipa ya shingo.
Mimi naongezea Vijibweni hospital ya Kigamboni nayo wanatoza kawaida ni 40 na operation kuanzia laki moja.
Ukitaka ushahidi nenda.
Utakapofika tutumie risiti tuone, mimi ninavyojua hakuna malipo ndio maana nataka utupe uthibitisho hapa ili tuanzie hapo.Mkuu acha uvivu wa kufanya utafiti unaweza kwenda kwenye hospital nilizokutajia kama upo Dar.
Ama tafuta mawasiliano ya uongozi wa hospital hasa kuanzia referral hospital then ulizia utapata jibu.
Kuna haja gani ya mimi kudanganya?
Sipo karibu tu sehemu risiti zilipo ningeweka humu sijui ungesemaje mkuu.
Sasa kama ndo hivyo usingeletwa huu ujumbe wa kupotosha umma humu ndani.Peleka mkeo akajifungue upate risiti ya kwako.
Mkuu tunataka JPM atulipie , anahamasisha dada,mama,wadogo zetu wafyatue ,kwani kufyatua kwawingi nayonimaendeleo.Kama umeona ghali si uende kwa bibi uzalie nyumbani? Ulitaka nani akulipie kwenye starehe zako? Hakuna cha bure hapa ulimwenguni, wewe kila siku umo humu ulitaka nani akulipie hizo MB? Wacha kelele!
HOSPITAL YA KITETE MKOA WA TABORA UNALIPIA, ELFU 50 KAMA MZAZI AKIJIFUNGUA MTOTO WAKIUME, ELFU 40 KAMA MTOTO WAKIKE. SIJUI KAMA TOZO ZIPO KIHALALI LAKINI NILAZIMA KULIPIAMbona serikali kujifungua hulipi kitu hata kwa operation Sana una lipia hela ya kitanda kwa siku elfu tano
Labda hospital zinatofautiana aisee maana hyo hospital niliyoenda ni ya Rufaa, na ulikuwa hulipii kituHOSPITAL YA KITETE MKOA WA TABORA UNALIPIA, ELFU 50 KAMA MZAZI AKIJIFUNGUA MTOTO WAKIUME, ELFU 40 KAMA MTOTO WAKIKE. SIJUI KAMA TOZO ZIPO KIHALALI LAKINI NILAZIMA KULIPIA
Akili za kuambiwa changanya na zako.Mkuu tunataka JPM atulipie , anahamasisha dada,mama,wadogo zetu wafyatue ,kwani kufyatua kwawingi nayonimaendeleo.
Hospital ya kitete niyarufaa pia, nasijui kwa nini wametofautisha gharama kwa mtoto wakike na kiume. Lakini lazima mzazi alipie baada yakujifungua .Na Mimi nashangaa kusikia hospital zingine hawalipii nilijua ndio utaratibu wa nchi nzima. Mpaka thread yake niliwahi ileta humu kuulizia kama nihalali.Labda hospital zinatofautiana aisee maana hyo hospital niliyoenda ni ya Rufaa, na ulikuwa hulipii kitu
Mkuu Wacha kwahio JPM anatupiga saundi, kila mahala kuna tozo.Akili za kuambiwa changanya na zako.