Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,415
Huu ni uongo kabisa. Mwanafamila wangu amejifungulia kaloleni hospitali. Hatukulipa hata senti moja. Ilkua mwezi wa sita, na huduma ilikuwa Safi Sana, usafi wodini, huduma ya mama na mtoto imeimarishwa Sana Tanzania. Hakuna hizo garama kwenye hospitali ya serkali
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Ukiwa na bima hakuna tozo yoyote, muziki kwa kina sie tusio na bima mzeee!!! Si swala la ushabiki, hiyo ni kweli kabisa kuna tozo na bado hujatoa vifuta viatu la sivyo mgonjwa wako anadanja!!!