Huu ni uongo kabisa. Mwanafamila wangu amejifungulia kaloleni hospitali. Hatukulipa hata senti moja. Ilkua mwezi wa sita, na huduma ilikuwa Safi Sana, usafi wodini, huduma ya mama na mtoto imeimarishwa Sana Tanzania. Hakuna hizo garama kwenye hospitali ya serkali
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Unaweza kuniambia kitu cha bure hapa duniani? Usiniambie Oxygen, Jua, Mwezi, Usiku/Mchana. Vya bure hakuna isipokuwa vile tu alivyoweka Mwenyezi mungu. Angalia gharama za kumtunza mtoto hadi kufikia umri wa kujitegemea? Ukielewa hilo changanya na zako.Mkuu Wacha kwahio JPM anatupiga saundi, kila mahala kuna tozo.
Cariha...Mbona serikali kujifungua hulipi kitu hata kwa operation Sana una lipia hela ya kitanda kwa siku elfu tano
Sasa elfu 75 nayo hela ya kulalamika wakati unaenda kupata huduma ya kujifungua?
Unataka kuzaa tu bila kujua gharama za kuzaa?
.
Kama uanalalama 75 elfu ya kuzaa utaweza gharama za malezi kweli wewe?
Hebu kuwa mkweli kwa nafsi yako!! Kati ya jiwe na Lisu nani kashikwa vibaya!!???Acha upoyoyo safari hii magu kawashika kwenye kende hamna kitu chakuzungumzia mmebakiza ni uongo na uzushi tuu kenge nyie.
We unazo, maana ndio miongoni mwa watu wachache mnaonufaika na utawala wa kimafia wa jiwe!!Sasa elfu 75 nayo hela ya kulalamika wakati unaenda kupata huduma ya kujifungua?
Unataka kuzaa tu bila kujua gharama za kuzaa?
.
Kama uanalalama 75 elfu ya kuzaa utaweza gharama za malezi kweli wewe?
Wewe subiria za Lisu atakuwekea mfukoni.We unazo, maana ndio miongoni mwa watu wachache mnaonufaika na utawala wa kimafia wa jiwe!!
Kibena hospitali kujifungua ni bure ww na vifas vyako
Kwani aliyekiambia umtwange mimba mkeo ni nani?kuzaa iwe bure,kusoma iwe bure, kutibiwa nako iwe bure, vitambulisho machinga iwe bure!!! Naona tumeizidi America kiuchumiUsichukie,kisa unaleta uongo wa uswahilini.
Kwani Dar-es-salaam ipo urusi??? Acha uzushi, sera ya afya inafanana kwenye hospitali zote za serkaliUzi unazungumzia DSM , hata hivyo tunakushukuru kwa kuchangia
Sasa magu kashikwaje vibaya kama ni kampeni anafanya vizuri shazi mpaka pomoni,shida ni nyie chadema hamna hoja mnabaki kudandiadandia tuu.vile vitu ambavyo ilani yenu ya 2015 ndo anavifanyia kazi so mmebaki speechles na kutengeneza matukio tuu mara mjifanye mnaonewa na polisi nk.Hebu kuwa mkweli kwa nafsi yako!! Kati ya jiwe na Lisu nani kashikwa vibaya!!???
Ni bure Ila dawa unajinunulia mwenyewe na kulipia kitanda basiHospital ya kitete niyarufaa pia, nasijui kwa nini wametofautisha gharama kwa mtoto wakike na kiume. Lakini lazima mzazi alipie baada yakujifungua .Na Mimi nashangaa kusikia hospital zingine hawalipii nilijua ndio utaratibu wa nchi nzima. Mpaka thread yake niliwahi ileta humu kuulizia kama nihalali.
Hongera kwenu kwa baby na mwambie mkeo awe anafanya mazoezi ya kutembea atapona haraka, na hzo Bei kwa serikali iko cheap private operation kuanzia milion hiviCariha...
Mie wifi yako katoka huko leo kufanya dressing.
Hizo gharama kwa mie zilikuwa za vifaa tiba na madawa. Unanunua pharmacy kwao na risiti ya mashine kabisa unapewa. Japo baadhi zilikosekana nikanunua nje.
Wadanganye wajingaKwani Dar-es-salaam ipo urusi??? Acha uzushi, sera ya afya inafanana kwenye hospitali zote za serkali
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Tafuta daktari kabisa, maana unaweweseka Sana. Hapa tu bado 30 days uchaguzi ufanyike, matokeo yakitoka si utazirai kabisa.Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .
Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.
Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Kwani tumebisha basi mkuu , tunatahadharisha tu wale mlioingizwa chaka kwamba mufyatue bila brekiSasa 75,000 ina gharama gani wakati inakuletea mwana.
Mbona mnalala na wanawake mbaka kwa laki 1 na hamsini ili ukojoe tu.
Ulijifungua awamu hii ukakuta bure?Kibena hospitali kujifungua ni bure ww na vifas vyako